Chakorii
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 18,773
- 51,429
NANGAI MSUMI jibu haya maswaliKigamboni city appartments zipo sehemu gani ? Umbali ni kiasi gani from barabara kuu ? Na je Kuna hela ya udalali au ndo kodi moja kwa moja chief ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
NANGAI MSUMI jibu haya maswaliKigamboni city appartments zipo sehemu gani ? Umbali ni kiasi gani from barabara kuu ? Na je Kuna hela ya udalali au ndo kodi moja kwa moja chief ?
Hao watakao mudu kuishi humo ni young graduates wenye take home 1m+Wakati majohe napata vyumba viwili masta sebure na jiko kwa laki na nusu.
#MaendeleoHayanaChama
Sio mbali kutoka barabara kuu. Nyumba zipo karibu na Daraja la Nyerere. Unaweza kutembea hata Kwa mguu.Kigamboni city appartments zipo sehemu gani ? Umbali ni kiasi gani from barabara kuu ? Na je Kuna hela ya udalali au ndo kodi moja kwa moja chief ?
Vipi nikupngie mrembo apartment mojaKigamboni ipi hizi nyumba zipo
Kodi ni miezi 6. Dalali maelewano mkuu.Anachukua kodi ya mwezi mmoja au miezi 3,6 au mwaka? Na wewe dalali utataka laki 2?
Una miaka mingapi unaijua kigamboni?Nani kakuambia Kuna maji ya chumvi? Kigamboni ni maji baridi kbs yakisima
Kodi za miezi mitatu mnachukua?Sio mbali kutoka barabara kuu. Nyumba zipo karibu na Daraja la Nyerere. Unaweza kutembea hata Kwa mguu.
Mwendo wa Mwanamkee dk 10
Mwendo wa mwanaume dk 7
Hapana Asante sana.Vipi nikupngie mrembo apartment moja
Nyumba zpo kigamboni vijibwen. Kodi anachukua miez 6. Dalali maelewanoNANGAI MSUMI jibu haya maswali
Hapana ni miez 6 tu mkuuuKodi za miezi mitatu mnachukua?
Angalau umejibuNyumba zpo kigamboni vijibwen. Kodi anachukua miez 6. Dalali maelewano
Nyumba Kali sana. Zpo katka mazingira mazur pia.Hao watakao mudu kuishi humo ni young graduates wenye take home 1m+
Kigamboni vijibwenKigamboni ipi hizi nyumba zipo
AsanteKigamboni vijibwen
Kigamboni vijibwen.karib na daraja la NyerereKigamboni ipi hizi nyumba zipo
Zipo kigamboni vijibwen. Karibu sana na daraja la Nyerere. Dalali maelewano. Sio mbali kutoka barabara kuu. Kwa kutembea Kwa mguu dk 10Kigamboni city appartments zipo sehemu gani ? Umbali ni kiasi gani from barabara kuu ? Na je Kuna hela ya udalali au ndo kodi moja kwa moja chief ?
Swadaktaaa. Ila baada ya muda Kuna mradi wa maji utakamolika. Kote kutakuwana maji baridiUna miaka mingapi unaijua kigamboni?
Kigamboni kuna maji ya chumvi sana tu na kuna sehemu zingine maji si ya chumvi
Ni baada ya muda sio!hiyo nyumba utaipangisha baada ya muda huo kufika maji ya baridi kigamboni nzima,au hiyo nyumba unaipangisha sasa ikiwa tayari kigamboni kuna sehemu yenye maji ya chumvi na sehemu nyingine yabaridi?Swadaktaaa. Ila baada ya muda Kuna mradi wa maji utakamolika. Kote kutakuwana maji baridi