Kigamboni Bridge Contract Signed

Kigamboni Bridge Contract Signed

Kwa maelezo yako inaonekana unajiamini kuwa unajua sana decision making process ya NSSF na unao ushahidi kuwa members hawajawakilishwa

naomba unipe ushaidi kuback up argument yako

Wewe ndo unambie kuwa members waliwakilishwa na nani/lini? Kwa sababu mimi ni member na sijawahi kusikia juu ya uwakilishwaji huo.

Hata hivyo hujajibu hoja ya mikopo kwa wanachama ambao ndio wanawapa kiburi cha kupeleka hayo mabilioni popote mtakako (kwa manufaa yenu, zaidi kisiasa) wakati sisi tunaowezesha tukiishi maisha magumu. Linapokuja suala la mikopo anapewa Manji (Refer mradi wa Millenium Business Park na mingineyo ya Manji), Mengi (IPP cares for you), Mbowe (Billicanas Entertainment Ltd) na wengine wengi. Hawa sio wanachama. Kwa nini mnawaamini na kuwapa pesa yetu halafu sisi ambao tuna uhakika wa kuleta pesa huko kila mwezi mnatuona kama takataka na kutuondolea uaminifu.
 
It is a good step forward this is what we call Public-private partnership (PPP) which involves a contract between a public sector authority and a private party, in which the private party provides a public service or project and assumes substantial financial, technical and operational risk in the project. In some types of PPP, the cost of using the service is borne exclusively
by the users of the service and not by the taxpayer

Mkuu imetulia lkn hii ya kigamboni ni BOT
 
It is a good step forward this is what we call Public-private partnership (PPP) which involves a contract between a public sector authority and a private party, in which the private party provides a public service or project and assumes substantial financial, technical and operational risk in the project. In some types of PPP, the cost of using the service is borne exclusively
by the users of the service and not by the taxpayer

Mkuu imetulia lkn hii ya kigamboni ni BOT
 
Huo mradi ukikamilika kuna watu watakua wamejenga nyumba zao kadhaa kwa hiyohiyo 214 billion
 
Daraja litakuwa na toll yaani la kulipia kama inavyoonyesha hapa chini ya mradi wa BOT
A088-05750_Toll_on_M25_at_Dartford_Crossing_UK.jpg
Kweli kwa hatua hii binafsi naipongeza Bidii ya namna hii. Ukamilifu wa Daraja hili utaleta Picha mpya ya eneo la Kigamboni, Jiji la DSM pamoja na nchi yetu kwa ujumla. si vema Tukawa mabingwa saana wa Kukosoa kila kizuri kinachofanywa na serikali. Kwa miongo kadhaa sasa Tanzania Imekuwa ikutambulika kwa Mnara wa Askari pale Posta kama picha nembo ya nchi, kama vile paramond la Us au mnara egamo wa UK. Lakini Tujiulize, watumiaji wa daraja ni akina nani, na wanataka nini. Nadhani watumiaji ni sisi wananchi, Mkataba huo 100% hauelezi ushirikishwaji wa mwananchi (mtumiaji). huo ndio kila siku tunaisema Mamlaka ya Manunuzi serikalini PPRA ambao ndio source ya Mikataba mama yoote ya nchi hii inayohusu shughuli kama hizi na nyinginezo. Ukisoma takriban Kurasa 728 za Mkataba huo uliosheheni Kiingereza (ambacho sio Lugha mama ya taifa) Hauelezi Leading line ya consumer. Nenda Pote kwenye Ukanda wa Dunia ya leo ambayo nchi inapowajibika kuweka Mradi ambao ni keto la Bajeti yake (out of Gov Budget) Lazima mwananchi wa kawaida ashirikishwe na ajue kinachoendelea NA KITACHOENDELEA. Ona, High way zote za Korea wanalipa won 3000, sawa na Tsh 5400 kwa pito, Japan wanalipa Yen 350 sawa na Tsh6200, hata huko Uk unakosema Dartford Crossing ambayo huvuka MTO THAMES na Gharama ya toll ni Sterling 3.7 sawa na kitu kamaTsh 9,800 na hiyo ni bei ya tax tu bei huenda mpaka paund 17.2 kwa magari makubwa ambayo ni kitu kama Tsh46,300, sasa tujiulizage hawa wananchi ambao tunalipaga Tsh 800 kwenye panton kuvusha tax,saloon, pick up, je wataweza kulipia Kiasi gani ili hayo mabilioni yalipwe. Kweli kama walivyosema kwenye bango lao kwamba Ni NDOTO. kweli bado ni ndoto , na imekuwa ndefu karibia lakini asubuhi itafika tupike uji tunywe.. tukapalilie mchicha na maharage, tulale tena sijui tutaota nini tena..
 
What a joke.
Wakati watu tunaiva kwene foleni na jua na joto hili la Dar mastinkaz wetu wanaona kwamba kuchakaza bilioni 200 is nothing kulingana na umuhimu wa daraja la Kigamboni! I am sure umuhimu upo ila si wa kihivyo, si ni majuzi tu mmeleta kivuko kipya? hivi ni watu wa aina gani nyie msio na huruma na mtz?
 
Serikali ilikuwa haina pesa za kufanya huu mradi na dunia ya leo serikali inaacha idara zingine zifanye miradi kama hii wao kazi yao ni kuregulate tuu

uzuri ni kuwa mradi kama huu haufanywi na mtu mmoja peke yake NSSF badi unafanywa na watu wengi tena kwa kushirikisha wanachama wa NSSF
Hapo kwenye Red Moja Kuna Utata Mkubwa.... Riz1 Sijui kama Hayumo na pili Wanachama Wepi Mbona Sie Hatufahamu Kitu ni Bora Ungesema Wafanyakazi wa NSSF tena wa Ngazi za Juu kupeana ulaji tu...

Ficheni tutakuja Jua tu Tena yule waziri wa Zamani aliyekatika Mkono vipi yumo!
 
Oh My Mama Waenda kwa Miguu Watatumia Muda Gani na hapo ni bora kuwe na vituo vya Huduma ya Kwanza... na Wmachinga Waruhusiwe kuuza ice cream na maji MrNssf Msiweke Bar katikati ya Daraja kiupepo cha hapo hawatalewa
DSC00760.JPG
 
Kwa hiyo daraja likikamilika huduma ya pantoni haitokuwepo tena??
 
daraja mnajenga la nini ili hali huku kigamboni mnatuhamisha? au dodoma inahamishiwa huku?
 
sasa bila ushaidi tutaweza kujadili nini?

Mbona TRA kumejaa madudu mengi tuu na hamlalamiki?

hujawah kusikia malalamiko ya wa'tz kuhusu TRL?had mkataba unavunjwa its becoz of MALALAMIKO
 
Back
Top Bottom