John Haramba
JF-Expert Member
- Feb 4, 2022
- 365
- 1,374
Taarifa kwa wanaotumia vivuko kuelekea na kutoka Kigamboni jijini Dar es Salaam: Kivuko chaondolewa kwenye maji, wanaotumia magari wapewa ushauri.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Songoro anapiga hela wallahiLeo nimepita njia ya mji mwema nimekiona hiko kivuko kwenye yard ya Songoro marine nikajua kumekucha, wacha niendelee kuzunguka darajani. Nawapongeza bandari kwa kujenga bandari road kwa zege na kuondoa msongamano wa malori.
MkuuTaarifa kwa wanaotumia vivuko kuelekea na kutoka Kigamboni jijini Dar es Salaam: Kivuko chaondolewa kwenye maji, wanaotumia magari wapewa ushauri.
View attachment 2125756
Songoro mwenyewe si alifariki! Nafikiri kampuni yake ndo imebaki inapiga pesaSongoro anapiga hela wallahi
17 March 2021Songoro mwenyewe si alifariki! Nafikiri kampuni yake ndo imebaki inapiga pesa
nahisii harufu ya ankaraa - inagharimu bei gani kukifanyia matengenezo?
Alipofariki alikuwa na pisi kule songea naona wakaizima fasta. Yule mzee alikuwa fresh sana sema kimbito balaa 😃Songoro mwenyewe si alifariki! Nafikiri kampuni yake ndo imebaki inapiga pesa