LGE2024 Kigamboni: Mawakala wa CHADEMA walalamika kutokuapishwa hadi sasa wakati Mawakala wa CCM wakiendelea na mchakato huo

LGE2024 Kigamboni: Mawakala wa CHADEMA walalamika kutokuapishwa hadi sasa wakati Mawakala wa CCM wakiendelea na mchakato huo

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Mindyou

JF-Expert Member
Joined
Sep 2, 2024
Posts
1,869
Reaction score
4,877
Wakuu,

Wakati taifa likiwa linajiandaa kuingia kwenye Uchaguzi kesho, maalamiko ya uonevu kutoka CHADEMA na vyama vingine yameendelea kupamba moto

Huko Mjimwema, Kigamboni Mawakala wa CHADEMA wameripotiwa kukumbana na changamoto ya kutokuapishwa.

Siku ya jana mawakala hao walipoenda mapema kwa ajili ya kuapishwa walielekezwa kurudi siku ya kesho yake ambayo ni leo.

Soma: Msimamizi wa Uchaguzi Dodoma: CHADEMA wameweka mawakala 55 katika vituo 666

Kwa upande mwingine, mawakala wa CCM waliowasili baadaye yaani siku ya jana waliruhusiwa kuapishwa mara moja meanwhile wale wa CHADEMA bado hawajaapishwa.

Kinachonekana hapa ni kwamba CCM hawataki mawakala wa vyama vingine waapishwe ili wapate mwanya wa kujiwekea matokeo wanayoyataka wao.

 
Wakuu,

Wakati taifa likiwa linajiandaa kuingia kwenye Uchaguzi kesho, maalamiko ya uonevu kutoka CHADEMA na vyama vingine yameendelea kupamba moto

Huko Mjimwema, Kigamboni Mawakala wa CHADEMA wameripotiwa kukumbana na changamoto ya kutokuapishwa.

Siku ya jana mawakala hao walipoenda mapema kwa ajili ya kuapishwa walielekezwa kurudi siku ya kesho yake ambayo ni leo.

Soma:

Kwa upande mwingine, mawakala wa CCM waliowasili baadaye yaani siku ya jana waliruhusiwa kuapishwa mara moja meanwhile wale wa CHADEMA bado hawajaapishwa.

Kinachonekana hapa ni kwamba CCM hawataki mawakala wa vyama vingine waapishwe ili wapate mwanya wa kujiwekea matokeo wanayoyataka wao.

View attachment 3162040
Watu wengi hapa nchini ni mbumbumbu, wasamehe hawajui walitendalo, tulipigana vita na wakoloni waliokuwa wabaguzi ili tuishi kwa uhuru na amani lakini badala ya kuondoka wakoloni tumeanza kugeukiana sisi kwa sisi tunafanya hivi Kwasababu hatuna hakili ni mbumbumbu historia ya Tanzania ni vita mtambue hilo
 
Wanamlalamikia nani? Wamelazimisha kushiriki uchaguzi Sasa wanalalamika Nini.
 
Back
Top Bottom