Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna genge la watu wachache linaiyumbisha nchi, kuna mtu alikuja na takwimu humu kwamba kuna nchi ni landlocked na zinapitishia mafuta Tz ila bei za mafuta yao ziko chini kuliko sisiNauli za bajaj tayari zimepanda kutoka 500 mpaka 1,000/=
Na hakuna ufafanuzi wowote.
Jana natoka zangu mishe naambiwa nauli 1000 badala ya 500.
Hii siyo haki.
90% nauli za usafiri zinapandishwa na mateja .Nauli za bajaj tayari zimepanda kutoka 500 mpaka 1,000/=
Na hakuna ufafanuzi wowote.
Jana natoka zangu mishe naambiwa nauli 1000 badala ya 500.
Hii siyo haki.
90% nauli za usafiri zinapandishwa na mateja .
Teja linapopiga Debe nauli 1000 basi na mwenye bus/bajaj unawaachia nauli ya mtu mmoja.
Ni wao ndy wanaropoka nauli husika.
Mateja yote pumbavu zenu.
Kwani Bajaji Zinakuwa Regulated na Mamlaka Kwenye Kupanga Nauli??? Hiyo 500 ya mwanzo nani aliwapangia? Nafahamu Hizo za Daladala zinakuwa zimesajiliwa na mamlaka na mamlaka ndio hupanga nauli, bajaji nani anawapangania nauli??Ni changamoto sana mkuu!
Lakini bajaj hazina wapiga debe.
Lazima wapiga Debe ndy wameanzisha hiloNi changamoto sana mkuu!
Lakini bajaj hazina wapiga debe.
Tembea kwa miguu mkuu, vita ya Ukraine na Russia haiishi leoNi kero sana kwa kweli, hasa hii njia ya kisiwani ambayo haina daladala.