- Thread starter
-
- #41
Tuna matatizo makubwa Bandari ya Tanga imekufa hivi hivi tunaona leo hii unajenga lingine kwa mwenye akili ni vigumu kuona mantiki ya uamauzi huu!
Mie si Mchumi wana uchumi watatupa mwanga wa kipi hasa is Economicaly viable!
Kigamboni Blue Diamond haizungumzwi tena ,na mwelekeo ni Bagamoyo kwa sasa!
Tega siko pengine Mhe.Tibaijuka naye anavijisenti vya kuwalipa wale wa Kibada!
Mie si Mchumi wana uchumi watatupa mwanga wa kipi hasa is Economicaly viable!
Kigamboni Blue Diamond haizungumzwi tena ,na mwelekeo ni Bagamoyo kwa sasa!
Tega siko pengine Mhe.Tibaijuka naye anavijisenti vya kuwalipa wale wa Kibada!
Bagamoyo mpya mbioni
Aliongeza kuwa kwa mwaka huu wa fedha, Serikali imetenga Sh7 bilioni kwa ajili ya kumalizia ulipaji fidia katika eneo la Bagamoyo.
Alifafanua kwamba mwaka 2013/14, kampuni 31 zilipewa leseni za kujenga viwanda chini ya Mamlaka ya EPZ na tayari kampuni nane zimeanza uzalishaji. Kampuni hizo zinatarajiwa kuwekeza mtaji wa jumla ya Dola za Marekani 485 milioni na kuajiri watu 10,276.