DOKEZO Kigamboni: Shule ya Msingi Mumba ina Walimu wanne, baadhi yao hawafiki kazini takriban siku 4 kwa wiki

DOKEZO Kigamboni: Shule ya Msingi Mumba ina Walimu wanne, baadhi yao hawafiki kazini takriban siku 4 kwa wiki

  • Thread starter Thread starter Anonymous
  • Start date Start date
Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
A

Anonymous

Guest
Mumba ni shule iliyoko Manispaa ya Kigamboni na ikiwa na darasa la awali hadi Darasa la 4 na ikiwa na Walimu wanne na mmoja wa kujitolea ila Mwalimu Mkuu na Mwalimu wa kujitolea ambae ana takriban miaka miwili ndio wanafika shule kila siku, wengine wanakuja Jumatatu na Ijumaa tu, hivyo Watoto wanakosa haki yao ya msingi ya kupata elimu bora maana Mwalimu wa kujitolea anaelemewa na kazi nyingi.

Shukrani za kipekee ziende kwa mwalimu wa kujitolea maana amekuwa msaada sana kwa Wanafunzi wote haswa haswa darasa la 4 waliofanya vizuri katika mitihani yao ya mock.

Ombi langu ni Manispaa ya Kigamboni iwafikirie Walimu hawa wanaojituma bila kupata kitu wakiamini watapata ajira lakini hamna chochote wanachofaidika nacho.

20241029_091147.jpg

20241029_091151.jpg
 
Mumba ni shule iliyoko Manispaa ya Kigamboni na ikiwa na darasa la awali hadi darasa la 4 na ikiwa na walimu wanne na mmoja wa kujitolea ila mwalimu mkuu na mwalimu wa kujitolea ambae ana takriban miaka miwili ndio wanafika shule kila siku, wengine wanakuja Jumatatu na Ijumaa tu hivyo watoto wanakosa haki yao ya msingi ya kupata elimu bora maana mwalimu wa kujitolea anaelemewa na kazi nyingi.

Shukrani za kipekee ziende kwa mwalimu wa kujitolea maana amekuwa msaada sana kwa wanafunzi wote haswa haswa darasa la 4 waliofanya vizuri katika mitihani yao ya mock

Ombi langu ni Manispaa ya Kigamboni iwafikirie walimu hawa wanaojituma bila kupata kitu wakiamini watapata ajira lakini hamna chochote wanachofaidika nacho.

View attachment 3137999
View attachment 3137998
Akisha kuwa Mwl Kada wa ccm tu hakuna cha kumfanya hata asipokuja mwaka mzima
 
Shukrani za kipekee ziende kwa mwalimu wa kujitolea maana amekuwa msaada sana kwa wanafunzi wote haswa haswa darasa la 4 waliofanya vizuri katika mitihani yao ya mock
Atafika mbali na Mungu ambariki
 
Naomba niseme tena upungufu wa walimu shule za msingi hali ni mbaya sana kwenye halmashauri huko, tunaomba Tamisemi izipe halmashauri vibali vya kupata walimu, nzuri nzima walimu 4-6 hii sio mchezo watoto wanaenda secondary wakiwa empty head.
 
Mwalimu kajitolea kwa manufaa ya watoto wa kitanzania hizi ndio chembechembe za uzalendo wa kweli, wito wangu kama kuna viongozi humu kwenye forum ambao jambo hili liko ndani ya uwezo wao waangalie namna wanaweza kumpatia ajira huyo mwalimu ili aendelee kufanya kazi.
 
Mwalimu kajitolea kwa manufaa ya watoto wa kitanzania hizi ndio chembechembe za uzalendo wa kweli, wito wangu kama kuna viongozi humu kwenye forum ambao jambo hili liko ndani ya uwezo wao waangalie namna wanaweza kumpatia ajira huyo mwalimu ili aendelee kufanya kazi.
Habari break time.,
Halamashauri ya manispaa ya kigamboni chini ya serikali sikivu ya mama samia itayafanyia kazi maoni Yako ndani ya kipindi kiufupi.

ASante.
 
Naomba niseme tena upungufu wa walimu shule za msingi hali ni mbaya sana kwenye halmashauri huko, tunaomba Tamisemi izipe halmashauri vibali vya kupata walimu, nzuri nzima walimu 4-6 hii sio mchezo watoto wanaenda secondary wakiwa empty head.
Mi naona serikali itoe ajira hizi za walimu kwa mikataba pengine watu watajitambua
 
Ik
Mumba ni shule iliyoko Manispaa ya Kigamboni na ikiwa na darasa la awali hadi Darasa la 4 na ikiwa na Walimu wanne na mmoja wa kujitolea ila Mwalimu Mkuu na Mwalimu wa kujitolea ambae ana takriban miaka miwili ndio wanafika shule kila siku, wengine wanakuja Jumatatu na Ijumaa tu, hivyo Watoto wanakosa haki yao ya msingi ya kupata elimu bora maana Mwalimu wa kujitolea anaelemewa na kazi nyingi.

Shukrani za kipekee ziende kwa mwalimu wa kujitolea maana amekuwa msaada sana kwa Wanafunzi wote haswa haswa darasa la 4 waliofanya vizuri katika mitihani yao ya mock.

Ombi langu ni Manispaa ya Kigamboni iwafikirie Walimu hawa wanaojituma bila kupata kitu wakiamini watapata ajira lakini hamna chochote wanachofaidika nacho.

Iko sehemu gani...mbona siijui
 
Mumba ni shule iliyoko Manispaa ya Kigamboni na ikiwa na darasa la awali hadi Darasa la 4 na ikiwa na Walimu wanne na mmoja wa kujitolea ila Mwalimu Mkuu na Mwalimu wa kujitolea ambae ana takriban miaka miwili ndio wanafika shule kila siku, wengine wanakuja Jumatatu na Ijumaa tu, hivyo Watoto wanakosa haki yao ya msingi ya kupata elimu bora maana Mwalimu wa kujitolea anaelemewa na kazi nyingi.

Shukrani za kipekee ziende kwa mwalimu wa kujitolea maana amekuwa msaada sana kwa Wanafunzi wote haswa haswa darasa la 4 waliofanya vizuri katika mitihani yao ya mock.

Ombi langu ni Manispaa ya Kigamboni iwafikirie Walimu hawa wanaojituma bila kupata kitu wakiamini watapata ajira lakini hamna chochote wanachofaidika nacho.


Mitano ten🤣🤣🤣🤣🤣
 
Mumba ni shule iliyoko Manispaa ya Kigamboni na ikiwa na darasa la awali hadi Darasa la 4 na ikiwa na Walimu wanne na mmoja wa kujitolea ila Mwalimu Mkuu na Mwalimu wa kujitolea ambae ana takriban miaka miwili ndio wanafika shule kila siku, wengine wanakuja Jumatatu na Ijumaa tu, hivyo Watoto wanakosa haki yao ya msingi ya kupata elimu bora maana Mwalimu wa kujitolea anaelemewa na kazi nyingi.

Shukrani za kipekee ziende kwa mwalimu wa kujitolea maana amekuwa msaada sana kwa Wanafunzi wote haswa haswa darasa la 4 waliofanya vizuri katika mitihani yao ya mock.

Ombi langu ni Manispaa ya Kigamboni iwafikirie Walimu hawa wanaojituma bila kupata kitu wakiamini watapata ajira lakini hamna chochote wanachofaidika nacho.

Yaani wewe umepewa kazi ya kujitolea alafu unawasagia kunguni wenzako hivyo. Chawa anayekuwa
 
Yaani wewe umepewa kazi ya kujitolea alafu unawasagia kunguni wenzako hivyo. Chawa anayekuwa
Mkuu uko sahihi,niyeye mwenyewe huyo mwalimu wa kujitolea kaamua kuwaharibia waliomwitia Ajira akidhani kuwa kuwaharibia wao yeye atapata Ajira.

Binadamu kiumbe Mbaya sana
 
Kwanza shule huonhaijaelezwa ina idadi ya wanafunz wangap

Na mwalimu wa kujitolea ana takriban miaka 2 ni nini kinafanya wasimpe ajita kwenye shule hyo?
Na hao waalim ambao wana mishahara halafu hawafiki shulen watachukuliwa hatua au hawana hatia kwavile ni makada wa ccm
 
Mumba ni shule iliyoko Manispaa ya Kigamboni na ikiwa na darasa la awali hadi Darasa la 4 na ikiwa na Walimu wanne na mmoja wa kujitolea ila Mwalimu Mkuu na Mwalimu wa kujitolea ambae ana takriban miaka miwili ndio wanafika shule kila siku, wengine wanakuja Jumatatu na Ijumaa tu, hivyo Watoto wanakosa haki yao ya msingi ya kupata elimu bora maana Mwalimu wa kujitolea anaelemewa na kazi nyingi.

Shukrani za kipekee ziende kwa mwalimu wa kujitolea maana amekuwa msaada sana kwa Wanafunzi wote haswa haswa darasa la 4 waliofanya vizuri katika mitihani yao ya mock.

Ombi langu ni Manispaa ya Kigamboni iwafikirie Walimu hawa wanaojituma bila kupata kitu wakiamini watapata ajira lakini hamna chochote wanachofaidika nacho.

Hii taarifa kama ni kweli basi inafikirisha sana. Kama hapo Dar hali ni hiyo, vipi huko mikoani? Inatisha sana.

Kuhusu kujitolea, kuna ukweli jambo hili linafanyika vibaya kwa baadhi ya shule, vijana hawa hupewa majukumu ya wenye ajira. Kwa hiyo, wanakuwa si ziada tena bali mbadala wa walimu wenyeji.
 
Back
Top Bottom