Kigamboni wekeni vibao barabara zile mbili pale feri zenye no entry sio vile vibao vya ujanja

Kigamboni wekeni vibao barabara zile mbili pale feri zenye no entry sio vile vibao vya ujanja

ommytk

JF-Expert Member
Joined
Jul 30, 2015
Posts
520
Reaction score
1,143
Uongozi wa kigamboni kuna barabara mbili pale feri ambazo kwasasa zinapita njia moja japo zina michoro ya njia mbili na kipindi cha nyuma zilikuwa zinatumika kama njia mbili tunaomba muweke alama zinazoonekana na zinazokataza gari kuingia.

Katika njia hizo ⛔ pale mwanzo kuingia na sio vile vibao vimewekwa mbali na hizo Kona na imekuwa usumbufu mkubwa kwa watumiaji na imekuwa mradi tena ukiingia njia hiyo kwa makosa.
 
Aiseee, TENA Traffic police wanakamata Sana magari yanakikuka Utaratibu huo
 
Mwezi ulopita nimetoa hela kwa traffic ili asichore kweli vibao havionekani kabisa kwa mtu mgen lazma aingie king
 
Back
Top Bottom