Salma osman
Senior Member
- Feb 22, 2011
- 164
- 42
- Thread starter
-
- #21
<br />They say'rafiki wa mwizi ni mwizi'...inawezekana kabisa na ww una tabia hizo za unayemwita best friend i.e ugeugeu na unafiki....sasa rafiki yako ni kama anataka kukurudi na wewe unaogopa kumwambia aache sababu na wewe umefanya mengi kama hayo....si unajua hata chama cha magamba wameshindwa kuonyana na kuambiana ukweli sababu lao ni moja.....sorry kama nimekukwaza
Ukimchekea nyani shambani utavuna mabua! Unashindwa nini kumface uyo rafiki yako? Mfate na umpe za uhakika, akinuna au akicheka shauri yake! Na huyo mumeo umwambie!
aiseeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee!<br />
<br />
haujanikwaza umejikwaza mwenyewe,coz u don't knw wht u r saying am think u r confused or out of ur mind
<br />They say'rafiki wa mwizi ni mwizi'...inawezekana kabisa na ww una tabia hizo za unayemwita best friend i.e ugeugeu na unafiki....sasa rafiki yako ni kama anataka kukurudi na wewe unaogopa kumwambia aache sababu na wewe umefanya mengi kama hayo....si unajua hata chama cha magamba wameshindwa kuonyana na kuambiana ukweli sababu lao ni moja.....sorry kama nimekukwaza
<br />Nina rafiki kigeugeu,alafu hypocrate. And she's ma best friend.what should i do 2 avoid her?
<br /><br /><br />
Mpe ban ya maisha.
<br />watu wengine bwana, yaani anamtext mumeo msg za mapenzi halafu unaomba ushauri jf? Akija kwako shosti unamchekea as if hakuna baya? Loh kazi kweli kweli.
Nina rafiki kigeugeu,alafu hypocrate. And she's ma best friend.what should i do 2 avoid her?
<br />Nina rafiki kigeugeu,alafu hypocrate. And she's ma best friend.what should i do 2 avoid her?
aiseeeeeeeee!..Kipipi
Wait till he impregnates her...
yani my dea i don't knw wat 2 do.lucky am travel
<br />Kwanini usimpe ukweli wake? Utamstahije mtu ambae hana staha? My dear, hata kama mmeo ana msimamo wa aje, still u have to do something ili kukomesha huo mchezo mchafu anaoufanya rafiki yako. Hio gia ya sms aloanza nayo ni ndogo sana, ukimuendekeza basi tegemea vituko vikali zaidi hapo na utashangaa siku mumeo breki zimekatika!!
<br />kabla hatujawalaumu wenzetu na se pia tujichunguze, ila kweli kuna marafiki huwa ni wa ajabu sana lakini hatuna budi kuwachukulia walivo, koz kujenga marafiki wapya nayo ni shughuli
<br /><br /><br />
<br /><br />
Usipende kwamwambia or kumshirikisha kila kitu kuhusu wewe, jaribu kua na siri. USIPENDE KUTOA PASSWORD YAKO KWA WATU WA AINA HII.
<br />hivg HUYO MUMEO NA RAFIKI YAKO NANI WA MUHIMU SANA KWAKO??