ni kweli kwa maelezo zaidi pitia huu uzi hapaKweli?
Hivi we jamaa umepotelea wapi?Uwe muuza karanga
Aha unazingua mzee umepiga kimya kama upo vitani Ukraine vile!!?πMimi nipo kaka ππ
Nambie
Kazi na shule ndugu yangu vyote kwa pamoja acha kabsa ni motoAha unazingua mzee umepiga kimya kama upo vitani Ukraine vile!!?π
Ah kumbe basi pamoja baba swalehe nilishazoea unapotea kwa muda then unarudi ila sasa hii ni too much tangu 2018 mkuu!!! Piga kitabu aisee nyie wenzetu mliowahi kuwa ma-TO katika nchi hii mnapenda sana kusoma kuliko kulaKazi na shule ndugu yangu vyote kwa pamoja acha kabsa ni moto
Hehehe ππmi sio TO mkuuAh kumbe basi pamoja baba swalehe nilishazoea unapotea kwa muda then unarudi ila sasa hii ni too much tangu 2018 mkuu!!! Piga kitabu aisee nyie wenzetu mliowahi kuwa ma-TO katika nchi hii mnapenda sana kusoma kuliko kula
Kwenda zako hukoπ€£π€£Hivi mpaka mnakuwa ma TO ina maana nyie hamkuwa na kazi za kufanya au!!??nyie kusoma kusoma tuHehehe ππmi sio TO mkuu
Na napenda sana kula mkuu
Tulia wewe tunafukua tu!Ngoja nimuulize.....
Eti @Bwanaangu .....!!!!
Ulinilipia shingβapi huu uplatinamu memba?
Asipokuja kujibu hapa ntaweka link ya uzi aliochangia kuhusu platinamu memba.
Mie sijui anagharamika kiasi gani, mi nnachojua napata nnachotaka, vingine kama huu uplatinamu ilikuwa zawadi ya kuwa na tabia njema.
Nilipunzika kula bange π π
Kiberenge acha kufukua makaburi ya 2018.... utakutana na misukule...