Kigezo Cha Kuwa Platnum Member!

Kigezo Cha Kuwa Platnum Member!

Kazi na shule ndugu yangu vyote kwa pamoja acha kabsa ni moto
Ah kumbe basi pamoja baba swalehe nilishazoea unapotea kwa muda then unarudi ila sasa hii ni too much tangu 2018 mkuu!!! Piga kitabu aisee nyie wenzetu mliowahi kuwa ma-TO katika nchi hii mnapenda sana kusoma kuliko kula
 
Ah kumbe basi pamoja baba swalehe nilishazoea unapotea kwa muda then unarudi ila sasa hii ni too much tangu 2018 mkuu!!! Piga kitabu aisee nyie wenzetu mliowahi kuwa ma-TO katika nchi hii mnapenda sana kusoma kuliko kula
Hehehe 😂😂mi sio TO mkuu

Na napenda sana kula mkuu
 
You must be master of pulinization.. 😂

Kasie ulilipiwa shingapi na bwana yako..?

Ngoja nimuulize.....

Eti @Bwanaangu .....!!!!

Ulinilipia shing’api huu uplatinamu memba?

Asipokuja kujibu hapa ntaweka link ya uzi aliochangia kuhusu platinamu memba.

Mie sijui anagharamika kiasi gani, mi nnachojua napata nnachotaka, vingine kama huu uplatinamu ilikuwa zawadi ya kuwa na tabia njema.

Nilipunzika kula bange 😅😅

Kiberenge acha kufukua makaburi ya 2018.... utakutana na misukule...
 
Ngoja nimuulize.....

Eti @Bwanaangu .....!!!!

Ulinilipia shing’api huu uplatinamu memba?

Asipokuja kujibu hapa ntaweka link ya uzi aliochangia kuhusu platinamu memba.

Mie sijui anagharamika kiasi gani, mi nnachojua napata nnachotaka, vingine kama huu uplatinamu ilikuwa zawadi ya kuwa na tabia njema.

Nilipunzika kula bange 😅😅

Kiberenge acha kufukua makaburi ya 2018.... utakutana na misukule...
Tulia wewe tunafukua tu!
 
Back
Top Bottom