Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ni kweli kwa maelezo zaidi pitia huu uzi hapaKweli?
Hivi we jamaa umepotelea wapi?Uwe muuza karanga
Aha unazingua mzee umepiga kimya kama upo vitani Ukraine vile!!?😂Mimi nipo kaka 😁😁
Nambie
Kazi na shule ndugu yangu vyote kwa pamoja acha kabsa ni motoAha unazingua mzee umepiga kimya kama upo vitani Ukraine vile!!?😂
Ah kumbe basi pamoja baba swalehe nilishazoea unapotea kwa muda then unarudi ila sasa hii ni too much tangu 2018 mkuu!!! Piga kitabu aisee nyie wenzetu mliowahi kuwa ma-TO katika nchi hii mnapenda sana kusoma kuliko kulaKazi na shule ndugu yangu vyote kwa pamoja acha kabsa ni moto
Hehehe 😂😂mi sio TO mkuuAh kumbe basi pamoja baba swalehe nilishazoea unapotea kwa muda then unarudi ila sasa hii ni too much tangu 2018 mkuu!!! Piga kitabu aisee nyie wenzetu mliowahi kuwa ma-TO katika nchi hii mnapenda sana kusoma kuliko kula
Kwenda zako huko🤣🤣Hivi mpaka mnakuwa ma TO ina maana nyie hamkuwa na kazi za kufanya au!!??nyie kusoma kusoma tuHehehe 😂😂mi sio TO mkuu
Na napenda sana kula mkuu
Tulia wewe tunafukua tu!Ngoja nimuulize.....
Eti @Bwanaangu .....!!!!
Ulinilipia shing’api huu uplatinamu memba?
Asipokuja kujibu hapa ntaweka link ya uzi aliochangia kuhusu platinamu memba.
Mie sijui anagharamika kiasi gani, mi nnachojua napata nnachotaka, vingine kama huu uplatinamu ilikuwa zawadi ya kuwa na tabia njema.
Nilipunzika kula bange 😅😅
Kiberenge acha kufukua makaburi ya 2018.... utakutana na misukule...