Kigezo cha kuwa Sheikh (Shehe) ni nini?

Kigezo cha kuwa Sheikh (Shehe) ni nini?

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
53,868
Reaction score
121,001
Wakuu ni katika kujifunza bila ukomo.

Mimi na wenzangu wasiojua, tunaomba kujuzwa vigezo vya mtu kuwa shehe.

Nyongeza; kunakuwa na kiwango cha elimu yeyote ya kidunia au ni elimu ya dini pekee?

Fafanua zaidi Mkuu, kiu hasa ya mleta mada ni kujuana,hao ma sheikh wana graduate ? ,Kwa mfano, Elimu ya Dunia tunajua mtu akiitwa Msomi Basi amefikia ngazi Fulani ya Elimu Kama Degree

Je hiyo Elimu ya Dini mnaiitaje ? Ni hatua ipi hasa ya Elimuhasa ambayo ndio mtu anatakiwa kuimaliza Hadi kuwa sheikh ?
 
Hawa watu sijui wanawapataje unakuta reasoning ya kawaida tu ni shida.......ila hawana mifumo mizuri kuwapata masheikh, na hata kama wanae bas hawawafanyii recruitment nzuri!

Ukishaweza tu kufafanua alama zilizopo kwenye logo ya taasisi kubwa ulimwenguni we ni sheikh namaanisha mfano akiangalia ile nembo ya arsenal akishaweza kuona ila gun ukifafanua we ni sheikh mkubwa tu.
Ukiweza kushawishi waumini kwamba IMF ukiisoma from end to start ni freemason international, ukiweza kufafanua shangilia ya Cristiano Ronaldo ww cyo mtoto wa mkulima ww ni sheikh mkubwa Afrika mashariki na Kati, ukiweza kuelezea nembo ya MOSSAD, CIA, M16 kaka we ni ulamaaa kbs
 
Hapo lazima ubainishe, ukisema Shehe ni Jina tu ambalo anaitwa MTU yeyote wa kawaida. Lakini ukisema Sheikh (الشيخ ) Anakuwa mtu ambaye ametabahari katika elimu ya Dini, kwa maana ana elimu ya Dini kupitia muongozo wa Vitabu ambazo WANAZUONI wamevitunga na kuvikusanya.
 
Hapo lazima ubainishe, ukisema Shehe ni Jina tu ambalo anaitwa MTU yoyote wa kawaida. Lakini ukisema Sheikh (الشيخ ) Anakuwa mtu ambaye ametabahari katika elimu ya Dini, kwa maana ana elimu ya Dini kupitia muongozo wa Vitabu ambazo WANAZUONI wamevitunga na kuvikusanya.
Fafanua zaidi Mkuu, kiu hasa ya mleta mada ni kujua,hao ma sheikh wana graduate ? ,Kwa mfano, Elimu ya Dunia tunajua mtu akiitwa Msomi Basi amefikia ngazi Fulani ya Elimu Kama Degree

Je hiyo Elimu ya Dini mnaiitaje ? Ni hatua ipi hasa ya Elimu ambayo ndio mtu anatakiwa kuimaliza Hadi kuwa sheikh ?
 
Kila muislamu ni kiongozi hilo la kwanza.

Uislamu hauendeshwi na matamko ya mtu kama vikundi vyenu vya ngoma sijui TEC ,mtu yeyote anaweza kuswalisha ,kufungisha ndoa ,kutoa mawaidha kikubwa awe anajua.

Uislamu unamuandaa binadamu awe independent na sio kwenda kutubu dhambi kwa binadamu mwenzio..

Uislamu umesititiza elimu zote yaani ya mazingira na akhera ,pia uislamu haumpi cheo mtu cha elimu bali anapewa uwezo wa kuwa khalifah(kiongozi) kuanzia ngazi ya familia na kweny jamii hususani mwanaume.

Utoaji wa fatwaah katika uislamu kutoa maamuzi ni kufanya marejeo ya mafunzo ya kidini bila kuongeza mambo kwa matamanio ya mtu.

Uislamu ni sheria kamili na shehe (shekhe) hata wewe unaweza kuitwa shekhe ina maana uislamu elimu inabaki kumsaidia mtu binafsi na sio kudhoofisha na kushia watu wengine akili.
 
Fafanua zaidi Mkuu, kiu hasa ya mleta mada ni kujuana,hao ma sheikh wana graduate ? ,Kwa mfano, Elimu ya Dunia tunajua mtu akiitwa Msomi Basi amefikia ngazi Fulani ya Elimu Kama Degree

Je hiyo Elimu ya Dini mnaiitaje ? Ni hatua ipi hasa ya Elimuhasa ambayo ndio mtu anatakiwa kuimaliza Hadi kuwa sheikh ?
Mimi nilisoma sharia zote nikienda nchi zinazotumia sharia naweza kuwa kama mtu wa masters ila hii nimesoma kwa ajili ya kutatua mambo ya mazingira na wala sio sifa .

Ina maana ni fully package kweny familia yangu hata mtu akifa fasta najua mirathi na hatua nyingine za kumuhifadhi ila sina cheti...wanaonijua hata baadhi ya wakristo tushatatua migogoro yao despite ya yote msikitini tunaoswali mjini kuna wakurugenzi wakubwa ila tunaaongozwa sala na wafanya usafi na walinzi maana hawa ndo wanawahi kufika sisi tunachelewa ,tunaunga sala.

Na elimu ni pana sana na huwaga wengi wanaanza kusoma madrasa miaka 4 mapema sana.
 
Kila muislamu ni kiongozi hilo la kwanza.

Uislamu hauendeshwi na matamko ya mtu kama vikundi vyenu vya ngoma sijui TEC ,mtu yeyote anaweza kuswalisha ,kufungisha ndoa ,kutoa mawaisha kikubwa awe anajua.

Uislamu unamuandaa binadamu awe independent na sio kwenda kutubu dhambi kwa binadamu mwenzio..

Uislamu umesititiza elimu zote yaani ya mazingira na akhera ,pia uislamu haupi cheo mtu cha elimu bali anapewa uwezo wa kuwa khalifah(kiongozi) kuanzia ngazi ya familia na kweny jamii hususani mwanaume.

Utoaji wa fatwaah katika uislamu kutoa maamuzi ni kufanya marejeo ya mafunzo ya kidini bila kuongeza mambo kwa matamanio ya mtu.

Uislamu ni sheria kamili na shehe (shekhe) hata wewe unaweza kuitwa shekhe ina maana uislamu elimu inabaki kumsaidia mtu binafsi na sio kudhoofisha na kushia watu wengine akili.
Maneno kibao,Kama ndio hivyo Kwa nini Kila mtu anaswali Eid yake?huyu Leo huyu kesho
 
Hawa watu sijui wanawapataje unakuta reasoning ya kawaida tu ni shida.......ila hawana mifumo mizuri kuwapata masheikh, na hata kama wanae bas hawawafanyii recruitment nzuri!

Ukishaweza tu kufafanua alama zilizopo kwenye logo ya taasisi kubwa ulimwenguni we ni sheikh namaanisha mfano akiangalia ile nembo ya arsenal akishaweza kuona ila gun ukifafanua we ni sheikh mkubwa tu.
Ukiweza kushawishi waumini kwamba IMF ukiisoma from end to start ni freemason international, ukiweza kufafanua shangilia ya Cristiano Ronaldo ww cyo mtoto wa mkulima ww ni sheikh mkubwa Afrika mashariki na Kati, ukiweza kuelezea nembo ya MOSSAD, CIA, M16 kaka we ni ulamaaa kbs
Le Monde, matata Kata...
 
Back
Top Bottom