marcoveratti
JF-Expert Member
- Sep 21, 2017
- 1,019
- 1,824
#KIGEZO GANI KIMETUMIKA KUMCHAGUA MLEZI WA SERENGETI BOYS?
Kwa ninavyo jua Mimi kazi huwa rahisi na yenye matokeo chanya zaidi endapo kama
Anaeifanya ni mzoefu wa kazi hiyo au ni mwenye kuipenda na ujuzi
Utakapo mchukua Dactari aka fungue Gia box huwezi kupata matokeo chanya hata kama ana degree 10 za udactari
Wazungu wanasema "professional matters"
Ujuzi na uzoefu wa msimamizi wa jambo Fulani ni mhimu zaidi kama unahitaji kupata kilicho bora
Tumezoea kuona watu wakipewa majukumu hovyo kinyume na uzoefu na ujuzi wao au taaluma walizo nazo
Na matokeo tunayo pata hayazoeleki, tunahitaji kubadirika tujifunze kwa makosa tubadilike,
Timu ya Serengeti boys kuna vipaji vya wasakata soka sio kuandika au kutangaza taarifa .
Kumpa BW Leginard Mengi kuwa mlezi wa watoto hawa sio uteuzi bora.
Wengi wata tazamia kwamba kwakuwa anapesa nyingi basi anaweza kumudu changamoto zote wanazopata Serengeti boys.
Pesa ina nafasi ndogo sana kwenye upatikanaji wa soka bora hasa kwenye timu za taifa
=>Marekani,Russia na China wamgekuwa nasumbua dunia kwemye soka kama "soka ni pesa"
Kuna mambo yani hitaji moyo,uzalendo,upendo zaidi kuliko kitu chochote.
BW Leginard Mengi ni mwema sana na mwenye kujitolea sana lakini si mwanamichezo kabisa yani hajihusishi na pengine anajua machache sana kuhusu michezo.
Sio mtu anae jihusisha kwa namna yoyote kwenye michezo na soka kwa ujumla wake
Mengi ana vituo vya television wote tunavijua (IPP media )
Vituo hivi havinaga mda na michezo hasa soka kuna vipindi vinajiita vya michezo lakini ni wanamichezo wachache sana wanavutiwa na vipindi hivi kutokana uendeshwaji wake..
Haya ni matokeo ya misingi na sheria za mmiliki wa kampuni ambae ni yeye na si wafanyakazi .
Kwa kupitia mwenendo huu tunapata majibu mazuri tuu kuwa si mtu sahihi kupewa majukumu ya kimichezo tena kwa timu ya Taifa ya vijana na tutegemee ije kututoa kimaso maso Siku za usoni kwasababu yeye sio mwanamichezo.
Sawa ana pesa lakini hana uzoefu na sio mpenda soka kwahiyo kazi kwake itamuwia vigumu sana,
Mwisho wa Siku tunaweza kumkuta straika wetu anasoma habari ITV.
Anatakiwa mtu mwenye mapenzi,uzoefu na mwenye ushawishi hata kwa wawekezaji kwenye soka
"Nachoona TFF wame angazia kutatua tatizo moja kwa kulikuza lingine."
Kwa ninavyo jua Mimi kazi huwa rahisi na yenye matokeo chanya zaidi endapo kama
Anaeifanya ni mzoefu wa kazi hiyo au ni mwenye kuipenda na ujuzi
Utakapo mchukua Dactari aka fungue Gia box huwezi kupata matokeo chanya hata kama ana degree 10 za udactari
Wazungu wanasema "professional matters"
Ujuzi na uzoefu wa msimamizi wa jambo Fulani ni mhimu zaidi kama unahitaji kupata kilicho bora
Tumezoea kuona watu wakipewa majukumu hovyo kinyume na uzoefu na ujuzi wao au taaluma walizo nazo
Na matokeo tunayo pata hayazoeleki, tunahitaji kubadirika tujifunze kwa makosa tubadilike,
Timu ya Serengeti boys kuna vipaji vya wasakata soka sio kuandika au kutangaza taarifa .
Kumpa BW Leginard Mengi kuwa mlezi wa watoto hawa sio uteuzi bora.
Wengi wata tazamia kwamba kwakuwa anapesa nyingi basi anaweza kumudu changamoto zote wanazopata Serengeti boys.
Pesa ina nafasi ndogo sana kwenye upatikanaji wa soka bora hasa kwenye timu za taifa
=>Marekani,Russia na China wamgekuwa nasumbua dunia kwemye soka kama "soka ni pesa"
Kuna mambo yani hitaji moyo,uzalendo,upendo zaidi kuliko kitu chochote.
BW Leginard Mengi ni mwema sana na mwenye kujitolea sana lakini si mwanamichezo kabisa yani hajihusishi na pengine anajua machache sana kuhusu michezo.
Sio mtu anae jihusisha kwa namna yoyote kwenye michezo na soka kwa ujumla wake
Mengi ana vituo vya television wote tunavijua (IPP media )
Vituo hivi havinaga mda na michezo hasa soka kuna vipindi vinajiita vya michezo lakini ni wanamichezo wachache sana wanavutiwa na vipindi hivi kutokana uendeshwaji wake..
Haya ni matokeo ya misingi na sheria za mmiliki wa kampuni ambae ni yeye na si wafanyakazi .
Kwa kupitia mwenendo huu tunapata majibu mazuri tuu kuwa si mtu sahihi kupewa majukumu ya kimichezo tena kwa timu ya Taifa ya vijana na tutegemee ije kututoa kimaso maso Siku za usoni kwasababu yeye sio mwanamichezo.
Sawa ana pesa lakini hana uzoefu na sio mpenda soka kwahiyo kazi kwake itamuwia vigumu sana,
Mwisho wa Siku tunaweza kumkuta straika wetu anasoma habari ITV.
Anatakiwa mtu mwenye mapenzi,uzoefu na mwenye ushawishi hata kwa wawekezaji kwenye soka
"Nachoona TFF wame angazia kutatua tatizo moja kwa kulikuza lingine."