kwa taarifa yenu leo nilikua makao makuu tcu wakatuambia kigezo walicho tumia kuchukua wanafunzi wa md ni lazima uwe na cutting point min ya 10.5 kwa masomo yote matatu (principle sub.)
nawaonea huruma ndugu zangu mliojaza io kozi ndio maana wengi wametemwa .
nna rafiki angu alisoma pcb akajaza md kwenye option zote matokeo yake katemwa kapelekwa chuo cha zanzibar kusomea mambo ya uchumi...
nimeamin tcu ni fagio lachuma
kwa taarifa yenu leo nilikua makao makuu tcu wakatuambia kigezo walicho tumia kuchukua wanafunzi wa md ni lazima uwe na cutting point min ya 10.5 kwa masomo yote matatu (principle sub.)
nawaonea huruma ndugu zangu mliojaza io kozi ndio maana wengi wametemwa .
nna rafiki angu alisoma pcb akajaza md kwenye option zote matokeo yake katemwa kapelekwa chuo cha zanzibar kusomea mambo ya uchumi...
nimeamin tcu ni fagio lachuma
sema naomba... B+ B+ na B/C umeelewa???
New Grading System(2014 Onward) Old Grading System (1988-2013) Weight (Using Old System) A A 5 B+ B 4 B C 3 C D 2 D E 1 E S 0.5 F F 0
Kama ni hvyo mkuuu inamaana wenye one za tatu au maana physics inakuwa subsidary so kwa point kumi means walio pata A tu kwa biology na chemia na c vinginevyoooo sasa mm mbona mshikaji kapangwa mhimbili MD ana A B+ na B huoni kama ana tisa hapo kwa masomo mawili maana physics ni subsidiary hapo unatwambia nn tuna mashaka na tarifa akoo
WATCH OUT
nimesema masomo ya kombi nkimaansha three principle subjects.... so uyo mr. ana point 12 so kapita vizur sana
NB.. umakini unatakiwa usomapo post co kukoment tu sawa??
jamani hii kitu ni kweli hat UDSM wametumia kigezo hiki cha point 10, ndo maana hakuna div 3 au 2 aliyechaguliwa udsm kama yupo aje hapa tupate evidence, ila udom three na two ndo wamemwagwa pale white university
acha uorongo bhana mdogo kuna demu tumesoma naye na 3 yake yupo udsm?
Tcu hawaangalii hilo na wapo wenye 4 na wamechaguliwa vyuo
acha uorongo bhana mdogo kuna demu tumesoma naye na 3 yake yupo udsm?
Tcu hawaangalii hilo na wapo wenye 4 na wamechaguliwa vyuo
i mean kwa waliochaguliwa mwaka huu wa BRN
Mwenye 4 anaenda soma chuo cha wap kwa ngaz ya degree??nadhan jamaa anajaribu kurefer kwa mwaka huu na siyo huyo demu mliosoma naye bali wanaoingia mwaka huu
na mm namaanisha mwaka huu na sivinginevyo.!