Kigodoro chamfanya Wema asihudhurie BET awards

Kigodoro chamfanya Wema asihudhurie BET awards

Watu wengi wakiwemo mashabiki
wa Wema na Diamond walitarajia
kumuona pamoja Wema Sepetu
akimpa kampani mpenzi wake
Diamond Platnumz ambaye
alikuwa anawania tuzo ya BET
Awards 2014 huko Los Angels,
Marekani. Wema alitarajiwa
kuonekana kwenye red carpet ya
BET kama ilivyokuwa kwenye
MTV Africa Music awards
ambapo walikuwa wote S.Afrika
na kina Aunty Ezekiel na team ya
Diamond
Hata hivyo chanzo kimoja kilicho karibu na
Wema na Aunty kimeelezea
kuwa moja ya sababu iliyomfanya Wema
ashindwe kwenda BET Awards licha ya kueleza
kuwa angehudhuria kupitia Instagram siku
kadhaa nyuma ni kufanyika kwa sherehe ya
rafiki yao mmoja maeneo ya Mwananyamala
nyumbani kwa Aunty Ezekiel juzi, ambapo
asingeweza kuwaacha mashosti zake hao peke
yao pasipo sapoti yake katika shughuli hiyo.
Kwa mujibu wa chanzo kilichoomba kutowekwa
wazi jina lake walicheza sana ikiwemo muziki
wenye mahadhi ya kigodoro ambayo ni ngoma/
muziki uliyojipatia umaarufu siku za hivi
karibuni kiasi cha "kuwawehusha" baadhi ya
kinadada wa mjini.
"Wema hajaenda BET Awards alikuwa kwenye
kigodoro Mwananyamala na kina Aunty, kuna
rafiki yao anaitwa Imelda alipata mtoto ndo
wakamfanyia sherehe. watu walikula, kunywa na
kusaza, walichezajee ! kajala na wema
walimaliza mgomgoro wao hapo, ntakutumia na
picha pia ila usinitaje" kilisema chanzo hicho
ingawa kilishindwa kutuma picha hizo kwa
wakati mpaka tunaandika habari hii.
Katika tuzo za BET Awards Diamond hakuwa na
team kubwa kama ilivyokuwa tuzo za MTV
nchini S.Afrika
Wema na kina Kajala katika shughuli hiyo.


Maweeee kigodoro wapi, huyo ali overstay USA last time alipoenda kule sasa wale wana sheria zao kuingia kule wema sio leo wala kesho...Na alivyokuwa na mashauzi na kupenda tension na hivi dada zake wanakaa kule unazani asingeenda kumsapoti diamond, awezi kusema ukweli wema USA no entry for the time Being....
 
Martin kadinda anapendaga wanaume wazuri na wenye mvuto na pesa zao, sasa wewe kama una sura kama avatar ya matumbo martin utaishia kumsikia instagram

Ha ha binamu kwa hyo binamu Kadinda ni bisexual ndo mana huwa ana mambo ya kike kike
 
Last edited by a moderator:
Martin kadinda anapendaga wanaume wazuri na wenye mvuto na pesa zao, sasa wewe kama una sura kama avatar ya matumbo martin utaishia kumsikia instagram

Hahhhhhaaa halaf huyo sio matumbo kwelii au wanafananaaa kabisaaa maana sura mbaya kama mugabe
 
Last edited by a moderator:
Maweeee kigodoro wapi, huyo ali overstay USA last time alipoenda kule sasa wale wana sheria zao kuingia kule wema sio leo wala kesho...Na alivyokuwa na mashauzi na kupenda tension na hivi dada zake wanakaa kule unazani asingeenda kumsapoti diamond, awezi kusema ukweli wema USA no entry for the time Being....

princess sayuni, Dinazarde, Heaven on Earth, qn of sheba, geniveros njoon musikie uku kumbe mama ubaya ali overstay kwa obama akapewa BAN ya kufa mtu uwiiii nyie mama ubaya huyu mbona hakutuambia?, ndo nini kutudanganya
 
Last edited by a moderator:
Haiwezekani kabisa WEMA aache kukwea pipa akalambe vumbi LA mwananyamala
Kisa ushoga hapana
 
Ha ha binamu kwa hyo binamu Kadinda ni bisexual ndo mana huwa ana mambo ya kike kike

Na mademu anawagonganga sana hadi madam kashampitia sema martin hana hulka ya kuonekana mtu wa mademu ndo maana ata aonekane na demu gan wat hawawezi kuis ni dem wake
 
princess sayuni, Dinazarde, Heaven on Earth, qn of sheba, geniveros njoon musikie uku kumbe mama ubaya ali overstay kwa obama akapewa BAN ya kufa mtu uwiiii nyie mama ubaya huyu mbona hakutuambia?, ndo nini kutudanganya


Binamuuuuu....Wema ana BAN usa due to overstaying, hvi alivyokuwa na kiherehere yule angemuacha shoga yake rommy jones aende na diamond bila yy kuwepo? Ha hivyo anavyopenda u celebrity unadhania angeacha kwenda kuwaona kina karrueche, nelly n.k wema Akisafiri ataishia ma europe tu USA no entry...
 
Last edited by a moderator:
Maweeee kigodoro wapi, huyo ali overstay USA last time alipoenda kule sasa wale wana sheria zao kuingia kule wema sio leo wala kesho...Na alivyokuwa na mashauzi na kupenda tension na hivi dada zake wanakaa kule unazani asingeenda kumsapoti diamond, awezi kusema ukweli wema USA no entry for the time Being....

bora useme wewe mwenzetu unaejua maaana sie wa manzese full kutudanganya na hv ht paspot sina....!
 
Last edited by a moderator:
Binamuuuuu....Wema ana BAN usa due to overstaying, hvi alivyokuwa na kiherehere yule angemuacha shoga yake rommy jones aende na diamond bila yy kuwepo? Ha hivyo anavyopenda u celebrity unadhania angeacha kwenda kuwaona kina karrueche, nelly n.k wema Akisafiri ataishia ma europe tu USA no entry...

Maskini mama ubaya, alinunaje. unajua nilisikiaga kitambo kuwa kuna soo kafanya USA hivyo aruhusiwi kwenda, mi nakajua alizinguana na dada yake maana kipindi kile nilikuwa sijaanza umbea nikapotezea

Na huyo ndomo simuelewagi na huyo romy jones wake hata kama ni undugu na u DJ umezidi sasa kila sehemu zote
 
nimekuja na nimeupata ubuyu nlitaka kushangaaa!kumbeeee

Na yeye alitia aibu ndo nini kukatalia nchi za watu? Wema nilikuwa namuona mjanja kumbe mshamba tu , na wamemkomesha
 
Nimecheka sana hapo, hivi huyu dogo ana kazii gani kwa wema hivi??
kajala+4.JPG

kazi yake ni kubeba mapochi ya wema,na nilliwahi kusikia pia jamaa ni chakula ya watu.. @Gossipcopwarumi kuna ukweli?
 
kubandika sufulia ya ugalii jikoni ndio fugo

mhhhhhh haya mi nilijua kubandika ni kubandika tu au kuinjika kumbe ukibandika sufuria inakuwa fugo nahene nkoyi na ukibandika ya kupikia wali
 
Back
Top Bottom