Kigodoro chamfanya Wema asihudhurie BET awards

Kigodoro chamfanya Wema asihudhurie BET awards

mhhhhhh haya mi nilijua kubandika ni kubandika tu au kuinjika kumbe ukibandika sufuria inakuwa fugo nahene nkoyi na ukibandika ya kupikia wali

Hiyo sijui mi mwenyewe nilikuta hivyoooo
 
Last edited by a moderator:
bora useme wewe mwenzetu unaejua maaana sie wa manzese full kutudanganya na hv ht paspot sina....!

Hahaaaa geni umenchekeshaje...nimekumbuka ile comment wanao mponda Domo hata passport hawana lol
 
Hahaaaa geni umenchekeshaje...nimekumbuka ile comment wanao mponda Domo hata passport hawana lol

Mumpishe geniveros wangu ye mambo ya kujisifia ujinga hana, kashajisemea hata passport hana kwani inahuu? , ila binamu mtambo na wewe eti hata passport sina uwiii hutak shida na mtu wakuachee, bora na wewe huna maana wengine wana passport toka 2010 had 214 passport nyeupee so wakuache
 
Last edited by a moderator:
Mumpishe geniveros wangu ye mambo ya kujisifia ujinga hana, kashajisemea hata passport hana kwani inahuu? , ila binamu mtambo na wewe eti hata passport sina uwiii hutak shida na mtu wakuachee, bora na wewe huna maana wengine wana passport toka 2010 had 214 passport nyeupee so wakuache

Hahaha yani kanichekeshaje eti wa manzense hata passport hana... nikikumbuka ile comment ya insta mbavu sina.
 
Last edited by a moderator:
Mumpishe geniveros wangu ye mambo ya kujisifia ujinga hana, kashajisemea hata passport hana kwani inahuu? , ila binamu mtambo na wewe eti hata passport sina uwiii hutak shida na mtu wakuachee, bora na wewe huna maana wengine wana passport toka 2010 had 214 passport nyeupee so wakuache

asa kumbe nfanyeje i know nothing about kwenda nje mtaa mzima aliyeenda sana bondeni tena kastoroway,na ndo anawapata kweli kuwadanganya huko instagram huyo wema wenzangu na mie,mi namponda tuuu kwani ye kule ameenda kushangaa mji...!ye kapelekwa kwa sababu maalum kule!
 
Last edited by a moderator:
Hahaha yani kanichekeshaje eti wa manzense hata passport hana... nikikumbuka ile comment ya insta mbavu sina.

Thread ya ndomo na akina nelly ishazimwa na boko haramu, yani wana bahat maana nilijaandaa na kwa timbwil leo
 
asa kumbe nfanyeje i know nothing about kwenda nje mtaa mzima aliyeenda sana bondeni tena kastoroway,na ndo anawapata kweli kuwadanganya huko instagram huyo wema wenzangu na mie,mi namponda tuuu kwani ye kule ameenda kushangaa mji...!ye kapelekwa kwa sababu maalum kule!

Huna hata makuu binamu yangu, unaishi zako manzese we wakwambie umbea apo mtaelewana mambo ya kujisifia sijui off to dubai umeshayaachaga uko insta
 
Naona ma mods wameona ile habari ni danganya toto, ngoja niwapelekee facebook maana umu hamdanganyiki, nikitoka zangu facebook naenda instagram najua kule nikipeleka hii habari lazima ninunuliwe vocha ya buku ten, uku nimeingia chaka nimeambulia vichambo tu

Safari njema binamu huko kitabuuso,sisi tupo hapa kuchekecha pumba na chuya.
 
Last edited by a moderator:
Naona ma mods wameona ile habari ni danganya toto, ngoja niwapelekee facebook maana umu hamdanganyiki, nikitoka zangu facebook naenda instagram najua kule nikipeleka hii habari lazima ninunuliwe vocha ya buku ten, uku nimeingia chaka nimeambulia vichambo tu

kule si ndo kwetu sio wa uswazi......!!!jf wala hawaijui mama angu mzazi yani wao wanamjua joti na fesbuk ya bure nasiku hz wasap kdogo mana wakiona ubize kidogo unacheka na comments za jf wanakuuliza hapo fesbuku eeeeh!
 
Last edited by a moderator:
Safari njema binamu huko kitabuuso,sisi tupo hapa kuchekecha pumba na chuya.

Kweli binamu mnachekecha mchele na pumba, wacha nichukue pumba zanfu nipeleke facebook nikitoka uko kitu cha instagram
 
kajala+4.JPG

kazi yake ni kubeba mapochi ya wema,na nilliwahi kusikia pia jamaa ni chakula ya watu.. @Gossipcopwarumi kuna ukweli


Daaaa nimecheka sanaaa kweli JF hamna kinchoshindikana kwa hiyo jamaa chakula ya watu wanajisevia ila anaoneekana tu alivyo hahaha
 
Wa kumpa hizo pesa za kutunza watu ovyo nani? Ndomo? Labda sio yeye , sasa ivi kwenye masherehe unaambiwa kajala ndo bosslasy nasikia alimtunza mtoto wa imelda lak 8 , mama ubaya ataichora chini na ndomo wake , bora arudi tu kwenye umalaya wake kama zamani

Dah ninecheka hadi basi
 
Hhahaha daa JF sio mchezo kiboko aiseee, me nillikuwa sijajua huyu jamaa kazi yake hasa nini kwa wema kumbe akilewaga anapenda sanaa kuchezea na kula ndizi za wanaume wenzake hatari sana kwa kweli weed upo lakini na majibu umeyaona huko ya Gossipcopwarumi

Halafu ana dharau sana, wewe kama mshkaj wake na huna hela, mbona atakunyar na kukudharau mpaka uchanganyikiwe, ila akiwaona akina haidery kavira atakavyowashobokea sasa had pumb anapigwa nao, nyie pesa izi
 
Last edited by a moderator:
Halafu ana dharau sana, wewe kama mshkaj wake na huna hela, mbona atakunyar na kukudharau mpaka uchanganyikiwe, ila akiwaona akina haidery kavira atakavyowashobokea sasa had pumb anapigwa nao, nyie pesa izi

Hatari sana mkuu hela kitu kibaya sana asikuambie mtu, na namuona tu jamaaa mambo yake sasa kama angekuwa na hela sijui ingekuwaje, na yule mwenzie Tiny Dady na yeye? Maana hawa vijana wana behave kama kids
 
Hatari sana mkuu hela kitu kibaya sana asikuambie mtu, na namuona tu jamaaa mambo yake sasa kama angekuwa na hela sijui ingekuwaje, na yule mwenzie Tiny Dady na yeye? Maana hawa vijana wana behave kama kids

Tiny dad kubwa jinga, mwili mkubwa akil ndogo
 
Back
Top Bottom