Kigogo anaposhindwa kutoa sababu ya unafuu Petrol Zanzibar

Kigogo anaposhindwa kutoa sababu ya unafuu Petrol Zanzibar

Mkuu hili la kulamba asali ni la kwako. Mimi nimesema kwamba ni kweli Zanzibar ina serikali yake na bunge lake. Hili la katiba mpya, mimi kwa maoni yangu nasema Zanzibar sasa wanahitaji katiba mpya kuliko wakati mwingine wowote

Mkuu kulamba asali ni kuyafaidi mema ya nchi kwa mujibu wa sheria.

Kwa mfano, wakati wenzetu kwa mujibu wa sheria mnauziwa petrol hata chini ya 2,500/- kwa Lita wakati kwetu Iko zaidi ya 3,500/-, kama hapo hamlambi asali basi walamba asali hawapo.

Kwa mujibu wa uzi huu:

Yawezekana Zanzibar hawahitaji Katiba Mpya sasa

Miye ningekuwa nyie, kwa hivi tu nitake katiba nyingine ya nini?
 
Mkuu kulamba asali ni kuyafaidi mema ya nchi kwa mujibu wa sheria.

Kwa mfano, wakati wenzetu kwa mujibu wa sheria mnauziwa petrol hata chini ya 2,500/- kwa Lita wakati kwetu Iko zaidi ya 3,500/-, kama hapo hamlambi asali basi walamba asali hawapo.

Kwa mujibu wa uzi huu:

Yawezekana Zanzibar hawahitaji Katiba Mpya sasa

Miye ningekuwa nyie, kwa hivi tu nitake katiba nyingine ya nini?
Kama hivyo ndo maana yake, mimi sina maneno. Leo bei ya petroli Zanzibar ni Sh. 2,980 na ile ya diesel ni sh. 2990. Ikiwa Bara ni kubwa kuliko hiyo basi asali inalambwa kwa kidole cha shahada. Kuhusu katiba: Kuna mengi tunayakosa kwa katiba na muundo huu wa muungano. Kama sio figisu za CCM saa hizi tungekuwa na katiba ile iliyopendekezwa na Warioba ambayo ina unafuu.
 
Amejiuma uma sana, angeweka wazi tu kuwa huko Bara kumejaa Mazezeta.
 
Back
Top Bottom