Kigogo: "Gambo Amenifurahisha Sana Kwa Kumuumbua Kiongozi wa Mkoa Mfanya Matamasha ya kula nyama wakati Jiji halina Stendi."

Kigogo: "Gambo Amenifurahisha Sana Kwa Kumuumbua Kiongozi wa Mkoa Mfanya Matamasha ya kula nyama wakati Jiji halina Stendi."

Nakubalina na maoni ya Kigogo Kwa sababu haiwezekani Kiongozi ashindwe kuweka mikakati ya kushughulikiwa Changamoto za msingi za Wana Arusha badala yake Kila siku anatunga maihizo ya movies yasiyo na msingi huku akiwakejeli wengine 😂 😂 👇 👇

View: https://x.com/kigogo2014/status/1889577775440306630?t=ONWZYrzHmkXv9Kh9Xm3oDw&s=19

My Take
Gambo amepiga ndege 2 Kwa Jiwe Moja 👇👇

View: https://x.com/millardayo/status/1889366238654070945?t=pq3FB7fAvPofIh2ygN7h7Q&s=19

Mbunge ameteuliwa na wananchi sasa kama yeye ametaka kujengewa stend na mteuliwa toka ikulu ambaye asubuhi tu anaweza tumbuliwa na bosi wake....aendelee tu kubweka na kuleta mipasho ya kisiasa wananchi wake wanaweza mtumbua kwa uzembe!
 
Gambo alikuwa kiongozi Arusha kutoka Ukuu wa Wilaya,hadi akawa Mkuu wa Mkoa,na leo ni mwaka wa tano ni mbunge,ajiulize,hiyo stand alishindwaje kujenga ?
Ndio yeye alipigania Hadi ikafikia.levwl hizi 👇👇
Screenshot_20240729-061436.jpg
Screenshot_20240729-061533.jpg
 
Asiishie hapo bali awashangae na wale wanaonunua Magoli na Chama chao kuleta Mabasi ya kwenda kwenye Matamasha na Pikipiki kila kona wakati kuna miji haina hata Stendi....; Kwa ufupi angesema tu the whole is Rotten na sio the Part... (including yeye)
 
Ndio pekee amekuwa akipigana kuisaka stendi Toka akiwa DC Hadi Sasa Mbunge.

Nani mwingine anapambania Arusha?
Wewe jamaa nimeamini ww ni mpumbavu tena mla nyama ya mbavu Makonda hajamaliza hata mwaka unakuja kuleta thread ya kumlaumu km sio upumbavu ulitaka Makonda atoe pesa mfukoni mwake ajenge stand ? kama pesa haijatolewa serikali kuu stand itamea km uyoga ? wakati mwingine uchawa unawaondolea ufikiri wa kichwani na kuhamishia makalioni...
 
  • Thanks
Reactions: UCD
Wewe jamaa nimeamini ww ni mpumbavu tena mla nyama ya mbavu Makonda hajamaliza hata mwaka unakuja kuleta thread ya kumlaumu km sio upumbavu ulitaka Makonda atoe pesa mfukoni mwake ajenge stand ? kama pesa haijatolewa serikali kuu stand itamea km uyoga ? wakati mwingine uchawa unawaondolea ufikiri wa kichwani na kuhamishia makalioni...
Matusi ni dalili ya mtu aliyeshindwa hoja 😂😂

Jibu swali RC amefanya jitihadi zipi kuhakikisha stendi inajengwa?

Hakuna excuses ya mda Ukiwa Kiongozi maana unaenda kuanzia pale alipoishia mwingine so Wacha ujinga.
 
Tatizo siyo Mkuu wa Mkoa bali ni viongozi wa kisiasa hapo Arusha wakati wa JPM walipelekewa pesa kwa ajili ya ujenzi wa Stand ya Bus lakini haikuwezekana kwa kuwa wanasiasa walikuwa wanabishana sehemu ya kujenga hiyo Stand. Mwaka wa fedha uliyopita pia wamerudisha pesa kibao kwa kushindwa kuzitumia kwa sababu ya mabishano ndani ya vikao vya madiwani akiwemo huyo Gambo. Unawezaje kumlaumu RC kwa hilo labda kama una akili za kinyumbu.
Kwani nani amemlaumu RC?
 
Matusi ni dalili ya mtu aliyeshindwa hoja 😂😂

Jibu swali RC amefanya jitihadi zipi kuhakikisha stendi inajengwa?

Hakuna excuses ya mda Ukiwa Kiongozi maana unaenda kuanzia pale alipoishia mwingine so Wacha ujinga.
Kamuulize yeye na Gambo wako.
 
Nakubalina na maoni ya Kigogo Kwa sababu haiwezekani Kiongozi ashindwe kuweka mikakati ya kushughulikiwa Changamoto za msingi za Wana Arusha badala yake Kila siku anatunga maihizo ya movies yasiyo na msingi huku akiwakejeli wengine 😂 😂 👇 👇

View: https://x.com/kigogo2014/status/1889577775440306630?t=ONWZYrzHmkXv9Kh9Xm3oDw&s=19

My Take
Gambo amepiga ndege 2 Kwa Jiwe Moja 👇👇

View: https://x.com/millardayo/status/1889366238654070945?t=pq3FB7fAvPofIh2ygN7h7Q&s=19

Na ieleweke Gambo pekee ndio amekuwa akipambania stendi hapo Arusha Kwa miaka yote
View attachment 3234573View attachment 3234574

👍ChoiceVariable Kuna siku unaamkaga vizuri unaleta point za maana Jf
 
Back
Top Bottom