Crimea
JF-Expert Member
- Mar 25, 2014
- 25,874
- 36,030
Kwahiyo chadema miaka yote nane walikuwa wanapika majungu kwa manufaa gani sasa?Hahaaaa,Richmond ilipikwa tu na wataalam wa majungu na fitna,yule mzee wa Tabora aliutaka uwaziri mkuu
Kumbe chadema ni chama cha majungu siyo