Kigogo wa kike aliyelipa m 7 kufanyiwa shoo peke yake

Kigogo wa kike aliyelipa m 7 kufanyiwa shoo peke yake

:A S-coffee: kazi kweli kweli...umaarufu kumbe gharama
 
yaani nakasirika sana kusikia JK amegoma kusaini wakat hii kitu watu kama ida tu cheki alivyojazia huyo bib junior..
 
na yeye aitwe jamani mtajeni amjui Cameroon kashatumaliza kila sehemu
 
Hata yeye huyo msanii mzushi tu , unless aseme kama aliutafsiri mwaliko ndovyo sivyo kisha akaamua kumuanika otherwise ni sehemu ay kalzi za kisanii na haijalishi kaitwa na kigogo mwanamke au mwanaume! Hawa ndo wale wasojua biashara hawa!!
 
Naskia bob junior in punga....

Anaweza kuwa Punga ila aliyoyasema kwanini yasichukuliwe kama taarifa ? Tusiwe tunadharu taarifa kama hizi basi ujue kuna mengi tunayadharau na wao Viongozi kuzidi kutuburuza.
 
ndo tatizo la mabrazameni wafupi!!!!siri hubaki siri na kama unaumua kukisanua unakisanua mazima!huyu mtoto atafanya mamama flani kuogopa kutoa mambo ili kutunza heshima zao!
 
acha mama sharobaro...milionea apige bata na kibabu junio,ila siku zao zinahesabika,wakiona tunaanza kujichoma moto karibia na magogoni pale watakiona labda waende kwa kicameroon wakiwa na mafuta laini.
 
Naskia bob junior in punga....

dogo siyo punga ila aliupania umaarufu!hiki anachokifanya ni kutaka kumaintain jina!.....type zake wengi walikuwepo ila leo wamebaki majina!
 
Back
Top Bottom