Kigogo yupi kati ya Azam, Simba na Yanga kuanza kuaga kombe la FA?

Kigogo yupi kati ya Azam, Simba na Yanga kuanza kuaga kombe la FA?

Nihame ili iweje kwa mfano?
Yanga ilichukua ubingwa three consecutive years. Mwaka huu mmechukua nyie bado sijahama. Kipi kunihamishe?
Kitakacho kuamisha Simba kuchukua ubingwa wa Africa mbele ya Raja Casablanca na Esperiense ya Tunisia
Jukwaa litatekwa na wagiriki kutoka msimbazi
 
Injinia soma hapo ngapi. Mwidiwe baba

Tulidiwe eh muhabho ni mpole se
 
Back
Top Bottom