LGE2024 Kigoma: ACT Wazalendo kufungua kesi kuwashtaki Wasimamizi wa Uchaguzi

LGE2024 Kigoma: ACT Wazalendo kufungua kesi kuwashtaki Wasimamizi wa Uchaguzi

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Suley2019

JF-Expert Member
Joined
Oct 7, 2019
Posts
2,203
Reaction score
5,610

Chama cha ACT Wazalendo Jimbo la Kigoma Mjini kimeamua kufungua kesi mahakamani kwenda kuwashtaki Wasimamizi wa Uchaguzi wa Manispaa, Wasimamizi Wasaidizi pamoja na walioshinda na kuapishwa katika nafasi mbalimbali kwenye uchaguzi wa Serikali za Mitaa, Vijiji na Vitongoji uliofanyika Novemba 27, 2024

Hayo yamesemwa na Kiongozi Mstaafu wa chama hicho Zitto Kabwe wakati akizungumza kwenye mkutano wa hadhara na wafuasi wa chama hicho pamoja na wananchi wa Kigoma waliojitokeza kumsikiliza jana Novemba 29, katika Uwanja wa Kawawa, uliopo Ujiji Kigoma.

PIA SOMA
- LGE2024 - ACT Wazalendo: Uchaguzi wa Serikali za Mitaa ubatilishwe na kuitishwa upya
 

Chama cha ACT Wazalendo Jimbo la Kigoma Mjini kimeamua kufungua kesi mahakamani kwenda kuwashtaki Wasimamizi wa Uchaguzi wa Manispaa, Wasimamizi Wasaidizi pamoja na walioshinda na kuapishwa katika nafasi mbalimbali kwenye uchaguzi wa Serikali za Mitaa, Vijiji na Vitongoji uliofanyika Novemba 27, 2024

Hayo yamesemwa na Kiongozi Mstaafu wa chama hicho Zitto Kabwe wakati akizungumza kwenye mkutano wa hadhara na wafuasi wa chama hicho pamoja na wananchi wa Kigoma waliojitokeza kumsikiliza jana Novemba 29, katika Uwanja wa Kawawa, uliopo Ujiji Kigoma.

PIA SOMA
- LGE2024 - ACT Wazalendo: Uchaguzi wa Serikali za Mitaa ubatilishwe na kuitishwa upya
Sheria imeshatoa kinga kwa wasimamizi wa Uchaguzi.

Dawa ni kuwashtaki kwa jamii. Watengwe watu wasishirikiane nao kwa lolote

Lakini ACT Wazalendo walikuwa wapi wakati jamii inapiga kelele dhidi ya sheria kandamizi?
 
Sheria imeshatoa kinga kwa wasimamizi wa Uchaguzi.

Dawa ni kuwashtaki kwa jamii. Watengwe watu wasishirikiane nao kwa lolote

Lakini ACT Wazalendo walikuwa wapi wakati jamii inapiga kelele dhidi ya sheria kandamizi?
Hapo hakuna kitu unachukua kesi ya Tumbili au Nyani wa Chama A unampelekea Ngedere wa Chama A unategemea nini?
 

Chama cha ACT Wazalendo Jimbo la Kigoma Mjini kimeamua kufungua kesi mahakamani kwenda kuwashtaki Wasimamizi wa Uchaguzi wa Manispaa, Wasimamizi Wasaidizi pamoja na walioshinda na kuapishwa katika nafasi mbalimbali kwenye uchaguzi wa Serikali za Mitaa, Vijiji na Vitongoji uliofanyika Novemba 27, 2024

Hayo yamesemwa na Kiongozi Mstaafu wa chama hicho Zitto Kabwe wakati akizungumza kwenye mkutano wa hadhara na wafuasi wa chama hicho pamoja na wananchi wa Kigoma waliojitokeza kumsikiliza jana Novemba 29, katika Uwanja wa Kawawa, uliopo Ujiji Kigoma.

PIA SOMA
- LGE2024 - ACT Wazalendo: Uchaguzi wa Serikali za Mitaa ubatilishwe na kuitishwa upya
Hawa sio wa kuwaamini sana
 
Back
Top Bottom