Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 57,951
- 32,619
Inasikitisha sana haya mambo nilizoe kuaangalia KBC Kenya sasa yameanza na 🇹🇿
Askari mmoja amempiga kwa bahati mbaya mfugaji akidhania mwizi wa mifugo. Askari huyo alihoji kibali cha serikl za mitaa akaonyeshwa akuishia hapo akataka hongo aruhusu mifugo kuelekea kuuzwa akajibiwa hana hela
Akampiga risasi mfugaji na sasa yuko Kigoma hospitali. Kwa mujibu wa dk wa hospt alipolazwa mgonjwa mguuwake mifupa imesagika kabisa na anatakiwa akakatwe .Mguu
Sasa sijui huyu tunamfanyaje
Nimeona post moja askari na DAS wamemsweka mtu ndan bila Kosa.
Sasa huyu naye anarudia ujinga ule ule na kwenda mbali zaidi kupiga risasi
Alipohijiwa aliomba radhi na akusema hakuona kibali
Hata hivyo Mwenyekiti wa Serikali za Mitaa amekiri kusaini kibali cha mfugaji na kumkabidhi
Hata alipokuwa akienda mnadani alipita kwake anashangaa iweje hana kibali
Hizi kazi mnalogwa ama mna mapepo yanawakumbusha nendeni kafanyeni maajabu
Hope kamanda wa Kigoma utalifanyia kazi
Askari mmoja amempiga kwa bahati mbaya mfugaji akidhania mwizi wa mifugo. Askari huyo alihoji kibali cha serikl za mitaa akaonyeshwa akuishia hapo akataka hongo aruhusu mifugo kuelekea kuuzwa akajibiwa hana hela
Akampiga risasi mfugaji na sasa yuko Kigoma hospitali. Kwa mujibu wa dk wa hospt alipolazwa mgonjwa mguuwake mifupa imesagika kabisa na anatakiwa akakatwe .Mguu
Sasa sijui huyu tunamfanyaje
Nimeona post moja askari na DAS wamemsweka mtu ndan bila Kosa.
Sasa huyu naye anarudia ujinga ule ule na kwenda mbali zaidi kupiga risasi
Alipohijiwa aliomba radhi na akusema hakuona kibali
Hata hivyo Mwenyekiti wa Serikali za Mitaa amekiri kusaini kibali cha mfugaji na kumkabidhi
Hata alipokuwa akienda mnadani alipita kwake anashangaa iweje hana kibali
Hizi kazi mnalogwa ama mna mapepo yanawakumbusha nendeni kafanyeni maajabu
Hope kamanda wa Kigoma utalifanyia kazi