Kigoma:- CHADEMA Watamchagua TAL ila watadumu kuthamini mchango wa FAM

Kigoma:- CHADEMA Watamchagua TAL ila watadumu kuthamini mchango wa FAM

Kabende Msakila

JF-Expert Member
Joined
Oct 7, 2020
Posts
1,809
Reaction score
1,692
Team,
Salaàm!

Mimi ni mtafiti mbobezi. Nimefanya hojaji na wanacdm wasiopungua 21
* 19 wamesema wanapenda TAL awe Mwenyekiti wao mpya;

* 01 amesema yeyote atakayechaguli kati ya wagombea watatu;

* 01 wagombea wote hawafai kwa kuwa kwa miaka takribani 5 inayoisha kulikuwa na migogoro mingi ndani ya CDM lkn hakuna aliyeinuka kushughulikia kupitia mikutano na vikao vya Kisheria vya CDM.

Nikirudi ktk agenda ya ninani awezaye kushinda Odds zinambeba TAL

Ushauri:-
SIKU kadhaa zilizobaki kabla ya uchaguzi kufanyika ndani ya CDM FAM ajitathmini na pengine kuchukua maamuzi magumu.

Ikumbukwe kuwa hatakuwa kiongozi wa kwanza kufanya hivyo (Joe Biden) hivi karibuni alikubali kujiondoa kama mgombea na maisha yanaenda.

Nawasilisha
 
Team,
Salaàm!

Mimi ni mtafiti mbobezi. Nimefanya hojaji na wanacdm wasiopungua 21
* 19 wamesema wanapenda TAL awe Mwenyekiti wao mpya;

* 01 amesema yeyote atakayechaguli kati ya wagombea watatu;

* 01 wagombea wote hawafai kwa kuwa kwa miaka takribani 5 inayoisha kulikuwa na migogoro mingi ndani ya CDM lkn hakuna aliyeinuka kushughulikia kupitia mikutano na vikao vya Kisheria vya CDM.

Nikirudi ktk agenda ya ninani awezaye kushinda Odds zinambeba TAL

Ushauri:-
SIKU kadhaa zilizobaki kabla ya uchaguzi kufanyika ndani ya CDM FAM ajitathmini na pengine kuchukua maamuzi magumu.

Ikumbukwe kuwa hatakuwa kiongozi wa kwanza kufanya hivyo (Joe Biden) hivi karibuni alikubali kujiondoa kama mgombea na maisha yanaenda.

Nawasilisha
Ndugu "Mtafiti", utafiti wako sampling technique yako ilikuwa ipi?, Sampling frame yako ilikuwa na population kiasi gani?, ulitumia formular ipi iliyokuwezrsha kupata sample size ya wahojiwa 21?

Kigoma ni kubwa, wahojiwa wako walitoka buhigwe?,au uvinza?, au kakonko? ,kibondo? ,kasulu? au kigoma ujiji?

Researchers are always attentive to details and processes before any genelization.
 
Team,
Salaàm!

Mimi ni mtafiti mbobezi. Nimefanya hojaji na wanacdm wasiopungua 21
* 19 wamesema wanapenda TAL awe Mwenyekiti wao mpya;

* 01 amesema yeyote atakayechaguli kati ya wagombea watatu;

* 01 wagombea wote hawafai kwa kuwa kwa miaka takribani 5 inayoisha kulikuwa na migogoro mingi ndani ya CDM lkn hakuna aliyeinuka kushughulikia kupitia mikutano na vikao vya Kisheria vya CDM.

Nikirudi ktk agenda ya ninani awezaye kushinda Odds zinambeba TAL

Ushauri:-
SIKU kadhaa zilizobaki kabla ya uchaguzi kufanyika ndani ya CDM FAM ajitathmini na pengine kuchukua maamuzi magumu.

Ikumbukwe kuwa hatakuwa kiongozi wa kwanza kufanya hivyo (Joe Biden) hivi karibuni alikubali kujiondoa kama mgombea na maisha yanaenda.

Nawasilisha
 
Back
Top Bottom