Mie nikinyimwa nabaka shemeji, sitakagi ujinga kwenye kunyimwa.Shemeji acha kunicheka yasije yakakukuta na wewe.
Mie nikinyimwa nabaka shemeji, sitakagi ujinga kwenye kunyimwa.
Kwakweli hata mimi akinilazimisha namshitaki. Shikamoo sheria, hivi unaanzaje kwenda kumshtaki mwanamke!!Shemeji unajua ninyi mmependelewa na mfumo wa kimahakama, sisi tunaambiwa hata wake zetu hatutakiwi kuwalazimisha tutaozea jela.
Kwakweli hata mimi akinilazimisha namshitaki. Shikamoo sheria, hivi unaanzaje kwenda kumshtaki mwanamke!!
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Ni sawa wee si ndio wale mnaulizwa kwa mwanamke mnapenda nini??
Mnajibu eti ngeu za uso hasa za panga[emoji23] [emoji23] [emoji23] nyie mademu wazuri kwenu mwiko
Itabidi wakutie makofi ya kukurudisha akili sawa.Ha ha ha, naenda kusema Mama Yoyoo kanibaka!
Kahoteli ka marehemu saidi Abdallah.. MwangaNilikuja tu kikazi mara moja nilikuwa nalamba maji kwenye baa inaitwa Website na kulala ka hotel Fulani kadogo kadogo kanaitwa Zanzibar Hotel
Acha unafiki, Sio wote...Unlike uwe wa huko na wew ila kama sio
Narudia tena USIOE KIGOMA
Wanawake wa ule mji wana amini sana katika ushirikina sana tena sana
Nina shuhuda kadhaa
We Kweli ni mzawa wa kigomakigoma nimekaa enzi za aifola mwenda salama kule beach nyuma ya hospital ya mkoa Maweni na Mbunge wetu Aman Waldi Kabourou,,
enzi Haice zinaitwa hiyasi na umeme niwamgao generator kule Magereza,Nimekaa kigoma
enzi bwawa la katubuka tunavua samaki na kitimoto tunanunua kilo moja sh 400 kwa jamaa mmoja anaitwa sokolo pale katubuka ,
enzi hizo story kubwa ni za Bunjumbura na zaire ,
Enzi hizo nyimbo za kizairwa kama yondo sista shimita aalus mabele na kanda bongo man ndio habari ya mjini.
Enzi samaki huwezi kuuziwa kwa kilo ila kwa mafungu samaki watano sh 200 na nyongeza,
Kigoma ninayoijua mimi ni ile mitaa ya kilimahewa na mjimwema ni ya kishua sana hukatizi ovyo mbwa wakali kila kona.
kigoma ile ya Cine atras na Bahama Ujiji tunaenda kucheck video unatoa sh 20 unaangalia movie mbili ya Kihindi na ya kizungu plus trailor la mziki wa Wenge BDBG
kigoma Ni noma Bana napamiss sana nasikia saizi kumekua kama dar es salaam vurugu nyingi
Aifoola Aifoola, aifola mwenda salama, kidudu chamfata Nani, chamfuata mwenda salama...... Hahahaha kigoooooooooooooomaaaakigoma nimekaa enzi za aifola mwenda salama kule beach nyuma ya hospital ya mkoa Maweni na Mbunge wetu Aman Waldi Kabourou,,
enzi Haice zinaitwa hiyasi na umeme niwamgao generator kule Magereza,Nimekaa kigoma
enzi bwawa la katubuka tunavua samaki na kitimoto tunanunua kilo moja sh 400 kwa jamaa mmoja anaitwa sokolo pale katubuka ,
enzi hizo story kubwa ni za Bunjumbura na zaire ,
Enzi hizo nyimbo za kizairwa kama yondo sista shimita aalus mabele na kanda bongo man ndio habari ya mjini.
Enzi samaki huwezi kuuziwa kwa kilo ila kwa mafungu samaki watano sh 200 na nyongeza,
Kigoma ninayoijua mimi ni ile mitaa ya kilimahewa na mjimwema ni ya kishua sana hukatizi ovyo mbwa wakali kila kona.
kigoma ile ya Cine atras na Bahama Ujiji tunaenda kucheck video unatoa sh 20 unaangalia movie mbili ya Kihindi na ya kizungu plus trailor la mziki wa Wenge BDBG
kigoma Ni noma Bana napamiss sana nasikia saizi kumekua kama dar es salaam vurugu nyingi
Mkuu nakifahamMkuu hebu badili hapa kwenye kasuru iwe Kasulu.
Kuna kijiwe wanaita kwa Mchaga unakifahamu?
Mkuu inaonekana unapaelewa vizuriila kuna sehemu nzuri kama mwasenga,katubuka,vamia karibu na just in time bar nk
Me napatikana urusi mda wote nipo hapa
Mkuu nimeishi nazareth,masanga na buregaWw wa wap mbona husemi