Kigoma JF users connect

Kigoma JF users connect

Nilimo! nilipata mchumba wa kutoka Manyovu kijiji cha Mukigo, baadae tuka differ hahahahahaha
Aha, hagombegwa mugamb'Igiha gusa, none mulatelany'Indimi, Ikingereza, Igiswahili, Igiha zose zil'aha, mwemwe mul'Abhaha nyabhaki mutamenya kugamb'Igiha?
Haliho Igiha cha Gakonko, cha Kibhondo, cha mabhamba gitelanyije mwo ni kirundi, ch'Iheru, Ch'amaeneo ya Bhasanza, ni cha Kigoma mjini, lakini zose ntimuzimenya!

Muze ngaha ndabhabwilize
 
Aha, hagombegwa mugamb'Igiha gusa, none mulatelany'Indimi, Ikingereza, Igiswahili, Igiha zose zil'aha, mwemwe mul'Abha nyabhaki mutamenya kugamb'Igiha?
Haliho Igiha cha Gakonko, cha Kibhondo, cha mabhamba gitelanyije mwo ni kirundi, ch'Iheru, Ch'amaeneo ya Bhasanza, ni cha Kigoma mjini, lakini zose ntimuzimenya!

Muze ngaha ndabhabwilize
Raimundo njoo unitafsirie please!
 
Nipo hapa Kibondo sekondari ila huko ndio nyumbani.
we, unasemaje kweli?
Aho niho ndaragalij'Uruzogi!
Bha Patrick Nyundo Bha Shedrack Bhalanzila nk.Mpaka ndamwibhutse mwalimu wanje yambwilij'Ugusoma n'Ukwandika, Kezia Bharanzila, Dah!!

Imana imuh'Imisi myishi zo kuramba!
 
Tangu zamani kabla ya Chato kupaishwa Nyakanazi iko B'mlo

Kwa hiyo Nyakanazi iko Kagera?

Maana hata huwa siilewi elewi iko upande gani ile, Nyakanazi nakumbuka miaka ya 2000 mwanzoni kulikuwa hata nyumba 10 hazifiki, ni kituo tu cha maaskari, ila ukipaona leo huwezi amini palivyokuwa mji mkubwa kabisa.
 
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
Kwani mkipendana ndio jina linabadilika?

Inabidi mtumie jina zuri zuri la kiheshima, sema baadae nilinywanganywa, na sitakagi hata kumkumbuka wala kuikumbuka Kibondo Girls.
 
Back
Top Bottom