Kigoma: John Mnyika awasili kushiriki mazishi ya Ally Kisalla

Kigoma: John Mnyika awasili kushiriki mazishi ya Ally Kisalla

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Taarifa ya Chadema Mkoani Kigoma inaeleza kwamba, Mh Mnyika atashiriki Shughuli za mazishi ya aliyekuwa Mwenyekiti wa Chama hicho Mkoani humo Ally Kisalla, yanayotarajiwa kufanyika leo.

Kamanda Ally Kisalla alifariki January 5, 2022 katika Hospitali ya Muhimbili, Dar es Salaam.

Katibu_Mkuu_wa_Chama_Mhe._Mh._John_Mnyika_akiwasili_mkoani_Kigoma%2C_ambapo_leo_Januari_08%2C_...jpg
 
... Mungu awatangulie Miamba; Mwamba Ally apumzike kwa amani; amen.
 
Mungu amtangulie.. chonde asiongelee siasa za covid 19
 
Back
Top Bottom