Si kweli mkuu!!Ujiji kila siku asubuhi ukitembea unakuta njiani nazi na madawa ya kienyeji. Sio kwamba naongeza chumvi ila ni kila siku lazima ukute hivo vitu
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimekaa pale Met miaka zaidi ya 4. Ukianzia Met nenda mpaka buzebazeba then nyooka hadi kule msikiti wa swahibu zamani kwa mbele kule. Njia za karibu na Ahlulbayt piaSi kweli mkuu!!
Embu taja ujiji sehemu gani?
Maana ujiji kubwa, mfano buzebaze, vamia, majengo, kitongoni, rutale, bimala au katonyanga?
Ayo mambo ya kuvunja nazi et kila siku mkuu naendelea kupiga atlist ungesema kipindi cha uchaguzi ningeunga mkono, uko met kote napapata inshort ujiji naifahamu vizurNimekaa pale Met miaka zaidi ya 4. Ukianzia Met nenda mpaka buzebazeba then nyooka hadi kule msikiti wa swahibu zamani kwa mbele kule. Njia za karibu na Ahlulbayt pia
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu. Sawa tu kama unapinga. Ila hiyo ni personal observation yangu, hicho ndicho nilichokiona na sina sababu ya kudanganya.Ayo mambo ya kuvunja nazi et kila siku mkuu naendelea kupiga atlist ungesema kipindi cha uchaguzi ningeunga mkono, uko met kote napapata inshort ujiji naifahamu vizur
Nipo Kigoma mjini kikazi kwa wiki moja,
Naomba kufahamu ni wapi panafaa kuosha macho wakuu.
Pawe sehemu tulivu na iliyostaarabika na pa kupaha macho..
Hahaha najua nimeeleweka.
@
Kidiama nimeenda mara 3, ni pazuri sana mkuu, nilishaondoka mkuu
Tanganyika hotel sio gharama Sana? SWIMMING SH NGAPI?Pamechoka hapa palikuwa zamani, nenda Tanganyika hotel huko
Mi nataka nianze kujongea Mdogo Mdogo the wallet...kumbe hakuambi?Hilo sijaliona.
Mji bado sana.
Fursa za ziwa zuri la maji baridi naona haijatumika vizuri.
Wana fukwe nzuri sana lkn hawatengeneza beach za viwango.
Nimependa sana fukwe taamu mno kwa asili lkn hawajawekeza vizuri wangefaidi.
Barabara za mjini ni nzuri tu
Sehemu za starehe hazibambi kivile.
Si wajua Waha wabahili?[emoji1787]
Kuna MADEMU?Nipo hapa Now nakula vilaji , ila kuna party ya kumkaribisha DED mpya
Kwahyo mkuu Kwa ulivyokaa nitajie viwanja viwili/vitatu vinavyobambaWallet pa kawaida mkuu
Hivi kidiyama ndiyo Iko Kule karibu Na Tanganyika hotel?Nenda Kidiyama, kule beach utanishukuru
Uliza karakana yavTanesco, wanapozalisha umeme kwa majenereta, Kidiama imepakana na hiyo karakanaHivi kidiyama ndiyo Iko Kule karibu Na Tanganyika hotel?