Citizen B
JF-Expert Member
- May 13, 2019
- 6,681
- 9,084
Saivi watakuwa wazi au Wanafunga jion?Uliza karakana yavTanesco, wanapozalisha umeme kwa majenereta, Kidiama imepakana na hiyo karakana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Saivi watakuwa wazi au Wanafunga jion?Uliza karakana yavTanesco, wanapozalisha umeme kwa majenereta, Kidiama imepakana na hiyo karakana
Nipo hapa Now nakula vilaji , ila kuna party ya kumkaribisha DED mpya
Uliza karakana yavTanesco, wanapozalisha umeme kwa majenereta, Kidiama imepakana na hiyo karakana
Nipo kidiyama saizi....hamna Kila kitu Bora ata kule uniqueNenda Kidiyama, kule beach utanishukuru
My dear unatafutwa na wangari.Kigoma wakarimu sana tatizo ushirikina tu,
SalamaHabari yako binti
ZimefikaMsalimie rafiki yangu wangari
Kwetu kigoma sisi ni masikini sana huwezi kaaufurahie HaliKigoma wana ziwa Tanganyika linatoa ajira kwa wengi, michikichi..kwa mawese, wana mpunga, maharage haya ni kwa wakazi, lakini pia imasikini ni mkubwa sana.
Nimeelewa kwanini waha wakija Dar na mikoani hawacheki na Nyani.[emoji38]
Ni kweli, serikali imechangia, nimeshangaa hadi sasa hakuna umeme wa taifa, hakuna barabara ya lami ya taifa ni reli tu.Kwetu kigoma sisi ni masikini sana huwezi kaaufurahie Hali
Sent from my SH-04H using JamiiForums mobile app
Lakin ci mmeona tukitoka nje na nyumban tunafanya kweli sana tunatafuta na tunapataNi kweli, serikali imechangia, nimeshangaa hadi sasa hakuna umeme wa taifa, hakuna barabara ya lami ya taifa ni reli tu.
Hii inachangia kudumaza mkoa japo fursa ni nyingi mno
Kweli, pili kwenu bado imani za kulogana zimejaaLakin ci mmeona tukitoka nje na nyumban tunafanya kweli sana tunatafuta na tunapata
Sent from my SH-04H using JamiiForums mobile app
Tunadumisha Imani zetuKweli, pili kwenu bado imani za kulogana zimejaa
Ktk niliokua nayo sura niliridhika nazo ila mmoja kidogo ndio sur haikua sawa kivile ila alikua na shepu matata sana pia mweusi na ana joto kweli...Sura binafsi sio, haha...wanajituma mno
Amekwamia wapi mi mwenyewe namtafuta kinoma!My dear unatafutwa na wangari.
Kama una namba yake mcheck alisema ni muhimu sana.Amekwamia wapi mi mwenyewe namtafuta kinoma!
Poa poa nitampigia, shukrani sanaKama una namba yake mcheck alisema ni muhimu sana.