Kigoma: Rais Magufuli kupokea ugeni wa kiserikali wa Rais wa Burundi, Mh. Evariste Ndayishimiye

Kigoma: Rais Magufuli kupokea ugeni wa kiserikali wa Rais wa Burundi, Mh. Evariste Ndayishimiye

Karibu sana Tanzania kisiwa cha amani, ndg. Evarist Rais wa Burundi.
 
Hawa jamaa watupu sana halafu huyo mwanasheria wao ndio anazidi kuwaingiza Chaka.

Kuna siku Kiwete akiwa Rais alikwenda Sweden kipindi cha kampeni za nchi hiyo, nakumbuka alikataliwa kwani ilisemekana waziri mkuu wao angetumia ziara hiyo kupata airtime kubwa dhidi ya wenzake. Hiyo ni kwa mujibu wa binadamu huko duniani. Kwetu sisi manyani bado ni tatizo kubwa kufikia ustaarabu huo, ndio maana Museveni alikuja kuiombea CCM kura, jambo ambalo ni kosa la kidiplomasia, nchi nyingine kuingilia chaguzi za nchi nyingine.
 
Kwa kweli yanayoendelea yanatia KINYAA
 
Kuna siku JK akiwa rais alikwenda Sweden kipindi cha kampeni za nchi hiyo, nakumbuka alikataliwa kwani ilisemekana waziri mkuu wao angetumia ziara hiyo kupata airtime kubwa dhidi ya wenzake. Hiyo ni kwa mujibu wa binadamu huko duniani. Kwetu sisi manyani bado ni tatizo kubwa kufikia ustaarabu huo, ndio maana Museveni alikuja kuiombea ccm kura, jambo ambalo ni kosa la kidiplomasia nchi nyingine kuingilia chaguzi za nchi nyingine.
Kwa hiyo viongozi wa nchi wasifanye lolote kwa sababu ya vyeo vyoo wakati wa kampeni!!.
Hii ni afrika sio Sweden, hizi ni nchi zenye kupokea misaada hazijafikia bado hadhi ya kutoa misaada.
 
Ulitaka nchi isiwe na Rais wakati wa uchaguzi?? Niambie nchi gani duniani ambayo wakati wa uchaguzi huwa haina Rais? Umbumbumbu wa sheria unawasumbua sana wanasaccos mkidanganywa na huyo zezeta wenu mnafikiri anajua sana sheria!!
Sheria si inabadilishwa tu kuendana na matakwa ya wananchi? Nini kinashindikana? Kwani katibu mkuu kiongozi ambaye ni mwajiriwa wa serikali hawezi kuendesha mambo tena kwa kipindi cha miezi miwili tu ya kampeni?

Mbona saa ivi hatuna bunge na mambo yanaenda? Kwani bunge si ni muhimili kama mihimili mingine? Ama ndo zile porojo kuwa mmoja umejichimbia zaidi kuliko mingine?
 
Tume ya Uchaguzi ya Taifa NEC Dodoma , ni muda muafaka kumshauri mgombea wa CCM John Magufuli kuacha kutumia mali au shughuli za serikali kwa manufaa ya kampeni za uchaguzi.
Tundu Lissu, Magufuli amekiuka Mambo yaliyokatazwa moja wapo ni rushwa


Makatazo 16 katika sheria za uchaguzi
  1. Kutoa fedha au kitu cha thamani
  2. Mkopo, ahadi ya kitu kushawishi
  3. Kutoa ajira
  4. Kudhibiti matumizi ya fedha kwa kuweka ukomo ili kuleta usawa kwa vyama. Matumizi ukomo ni Bilioni 6 mgombea Urais.
  5. Matumizi ya ofisi ya umma na rasilimali za umma kwa manufaa ya mgombea
......................................................................................

Je, wananchi wana ufahamu na sheria ya gharama za uchaguzi na makatazo ya rushwa?



........................................................................

Sheria ya Gharama za Uchaguzi ya mwaka 2010 ambayo huratibu matumizi ya fedha wakati wa uteuzi, kampeni za uchaguzi na uchaguzi kwa lengo la kudhibiti matumizi mabaya ya fedha za uchaguzi na kuweka uwanja sawa wa ushindani katika siasa

Utekelezaji wa Sheria hii hufanyika kwa kuhakikisha matakwa ya Sheria hii yanatekelezwa, kwa mfano, kuhakikisha wadau ( Wagombea Urais , Ubunge na Udiwani) wanapata fomu za gharama za uchaguzi na kuzijaza kwa wakati, kuhakikisha marejesho yanafanyika kwa wakati, kufuatilia mienendo ya wadau, wakati wa uteuzi, kampeni na uchaguzi ili kudhibiti vitendo vilivyokatazwa mfano rushwa , kushauri hatua za kuchukuliwa kwa ukiukwaji wa sheria

source: ORPP Website
 
Mkuu wa Mkoa wa Kigoma, CP Thobias Andengenye anapenda kuwaarifu wananchi wa Mkoa wa Kigoma kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mh. Dkt John Pombe Joseph Magufuli kesho tarehe 19.09.2020 atapokea ugeni wa kiserikali, wa Rais wa Burundi, Mh. Evariste Ndayishimiye, ambaye atafanya ziara RASMI ya KISERIKALI nchini Tanzania hapa mjini Kigoma.

Mapokezi ya Mh. Rais Evariste Ndayishimiye yatafanyika katika uwanja wa Lake Tanganyika. Wananchi wote mnaalikwa kufika Uwanja wa Lake Tanganyika saa mbili kamili asubuhi bila kukosa. Wananchi pia mnajulishwa kuwa, baada Mapokezi ya Ugeni huo na salaam kwa Wananchi, Mheshimiwa Rais Dkt John Pombe Joseph Magufuli na Mgeni wake watafungua Jengo la Mahakama Kuu Kigoma katika eneo la Bangwe saa Tatu Kamili Asubuhi. Wananchi wote mnaalikwa pia kufika katika shughuli hiyo.
Lissu rais kipenzi cha watanzania

Sent from my SM-A515F using JamiiForums mobile app
 
Mkuu wa Mkoa wa Kigoma, CP Thobias Andengenye anapenda kuwaarifu wananchi wa Mkoa wa Kigoma kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mh. Dkt John Pombe Joseph Magufuli kesho tarehe 19.09.2020 atapokea ugeni wa kiserikali, wa Rais wa Burundi, Mh. Evariste Ndayishimiye, ambaye atafanya ziara RASMI ya KISERIKALI nchini Tanzania hapa mjini Kigoma.

Mapokezi ya Mh. Rais Evariste Ndayishimiye yatafanyika katika uwanja wa Lake Tanganyika. Wananchi wote mnaalikwa kufika Uwanja wa Lake Tanganyika saa mbili kamili asubuhi bila kukosa. Wananchi pia mnajulishwa kuwa, baada Mapokezi ya Ugeni huo na salaam kwa Wananchi, Mheshimiwa Rais Dkt John Pombe Joseph Magufuli na Mgeni wake watafungua Jengo la Mahakama Kuu Kigoma katika eneo la Bangwe saa Tatu Kamili Asubuhi. Wananchi wote mnaalikwa pia kufika katika shughuli hiyo.
Huyu RC hajui Jengo la Mahakama Kuu liko wapi? Nisaidieni wana Kigoma, mimi nijuavyo ofisi zote za serikali/ mji wa serikali ni eneo la Mnarani .

Vv
 
Kwa hiyo viongozi wa nchi wasifanye lolote kwa sababu ya vyeo vyoo wakati wa kampeni!!.
Hii ni afrika sio Sweden, hizi ni nchi zenye kupokea misaada hazijafikia bado hadhi ya kutoa misaada.

Narudia tena, diplomasia ya kimataifa hairuhusu nchi nyingine kuingilia chaguzi za nchi nyingine. Tuliona alichoongea Museveni wiki iliyopita. Kampeni ni siku 60, ni kipi kingeharibika hizo ziara zikisubiri uchaguzi upite? Hili wala halihitaji nguvu kubwa kulijua.
 
We kenge.ee wa lumumba sheria ikiwekwa vizuri itamzuia Rais aliyeko madarakani kutumia mwanya wa nafasi Alonayo "incumbent position " kushawishi Umma kumchagua tena. Nenda shule tena.

Hakuna nchi duniani ambayo imefanikiwa kuzuia incumbancy advantage / benefits.

Na hizi ndio constutional powers ambazo president enjoys during times of general elections.

1) National Security powers.

2) Legislative powers. -- hana sababu ya kuitisha bunge kupitisha jambo akiamua.

3) Administrative powers.- Anaweza akateuwa akitaka nafasi yeyote ile.

4) Judicial powers -- Ndio kazi anayoenda kuifanya kesho.

5) During this period, President expand responsibilities and political resources.

6) Increase in numbers of Presidential Advisors on different areas of expertise.

7) To fully direct National Security Council that link foreign and Military policy.--- Ndio maana na Kabudi yupo hapo Kigoma.

8) Decisions on Management and budget.- Bado anaweza kutoa msaada au kubariki matumizi yeyote yale kwa kuwa hamna Bunge wakati huu.

9) Top most Hierachial of all government operations. - - Yeye anakuwa alfa na Omega na ndio maana anaongezewa washauri wabobezi katika maeneo ambayo yeye atahitaji msaada.

NA WAJIBU NI MMOJA TUU:

KUHESHIMU MATOKEO YA UCHAGUZI NA KISHERIA- - TO PRECEED FOR ANOTHER TERM IF HE WINS AND CONSTITUTION ALLOWS/ TO HAND OVER IF HE LOOSE.
 
Back
Top Bottom