Cute Wife
JF-Expert Member
- Nov 17, 2023
- 1,906
- 5,000
Wakuu,
Mbona ghafla kila sehemu wanaanza kuipongeza OR TAMISEMI? Yaani ni kama wote wamepewa script moja
, mbinu ni zile zile CCM hamjui kunyumbulika kabisa!
=====
Kupata mijadala kimkoa kuhusu Uchaguzi Serikali za Mitaa ingia hapa: LGE2024 - Special Thread: Orodha ya Mijadala ya Mikoa yote Tanzania Bara inayoshiriki katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
Wananchi wa mkoa wa Kigoma wamepongeza juhudi za serikali katika kuendelea kutekeleza mchakato wa kuwapata wagombea kwa ajili ya uchaguzi wa serikali za mitaa uliopangwa kufanyika tarehe 27, Novemba, 2024. Wamesema kuwa mchakato huu unatoa fursa kwa wananchi kuchagua viongozi wanaowaamini watakaowatumikia na kuleta maendeleo katika jamii zao.
Baadhi ya wananchi wamesifu uwazi na umakini wa mchakato wa kuwapata wagombea, wakisema kuwa serikali imeonyesha kujali sauti na mahitaji yao. Wengine wameeleza matumaini yao kwamba uchaguzi huu utaenda vizuri bila kuwepo kwa changamoto za kiusalama na migogoro, na wameiomba serikali kuendelea kuhakikisha kuwa mchakato unafanyika kwa haki na uwazi.
Mbona ghafla kila sehemu wanaanza kuipongeza OR TAMISEMI? Yaani ni kama wote wamepewa script moja
, mbinu ni zile zile CCM hamjui kunyumbulika kabisa!=====
Kupata mijadala kimkoa kuhusu Uchaguzi Serikali za Mitaa ingia hapa: LGE2024 - Special Thread: Orodha ya Mijadala ya Mikoa yote Tanzania Bara inayoshiriki katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
Wananchi wa mkoa wa Kigoma wamepongeza juhudi za serikali katika kuendelea kutekeleza mchakato wa kuwapata wagombea kwa ajili ya uchaguzi wa serikali za mitaa uliopangwa kufanyika tarehe 27, Novemba, 2024. Wamesema kuwa mchakato huu unatoa fursa kwa wananchi kuchagua viongozi wanaowaamini watakaowatumikia na kuleta maendeleo katika jamii zao.
Baadhi ya wananchi wamesifu uwazi na umakini wa mchakato wa kuwapata wagombea, wakisema kuwa serikali imeonyesha kujali sauti na mahitaji yao. Wengine wameeleza matumaini yao kwamba uchaguzi huu utaenda vizuri bila kuwepo kwa changamoto za kiusalama na migogoro, na wameiomba serikali kuendelea kuhakikisha kuwa mchakato unafanyika kwa haki na uwazi.