Kigoma: Watu 9 washikiliwa kwa kukutwa na viungo vya binadamu

Kigoma: Watu 9 washikiliwa kwa kukutwa na viungo vya binadamu

JanguKamaJangu

JF-Expert Member
Joined
Feb 7, 2022
Posts
2,780
Reaction score
6,607

Watu tisa Wilayani Kakonko, Kigoma wanashikiliwa kwa kukutwa na viungo vya binadamu ikiwemo mbavu na mguu ambavyo vinadaiwa vilikuwa vikipelekwa Mwanza.

Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Kigoma, James Manyama amesema: “Watuhumiwa walikamatwa katika kizuizi baada ya askari kutilia shaka gari lao T948 DQU lililokuwa limebeba abiria pia.

“Mtuhumiwa mmoja alimtaja mtu mmoja (jina linahifadhiwa) aliyekuwa akimpelekea viungo hivyo Sengerema, Mwanza, baada ya kufuatiliwa walikamatwa.”

Video: Azam TV
 
Dunia inamambo kuna watu kigoma wamekamatwa na mbavu na mguu wa binadamu hao watu baada ya kuhojiwa wanasema wametumwa na mtu wa mwanza au ndo wanatumia kwenye kuvulia samaki na inasemekana waifukua kaburi
 
Dunia inamambo kuna watu kigoma wamekamatwa na mbavu na mguu wa binadamu hao watu baada ya kuhojiwa wanasema wametumwa na mtu wa mwanza au ndo wanatumia kwenye kuvulia samaki na inasemekana waifukua kaburi
Iheshimu Mwanza... Miguu itatumika vipi kutafta samaki ziwani
 
Dunia inamambo kuna watu kigoma wamekamatwa na mbavu na mguu wa binadamu hao watu baada ya kuhojiwa wanasema wametumwa na mtu wa mwanza au ndo wanatumia kwenye kuvulia samaki na inasemekana waifukua kaburi
Leo Niliandika Uzi ambao sehemu kubwa ulikuwa umegusia hayo mambo, moderators Kwa roho mbaya zao wakaufuta.
 
Back
Top Bottom