Kigoma: Watu 9 washikiliwa kwa kukutwa na viungo vya binadamu

Kigoma: Watu 9 washikiliwa kwa kukutwa na viungo vya binadamu

Afadhali Zimbabwe wao wanauza kwa hiari yao vidole gumba vya miguu
 
Kigoma wamezidi kua primitive.
Twenty first century bado watu wanaoamini uganga?
 
Inaelekea Samaki za ukanda huo mpaka kuvuliwa mchakato wake unaambatana na mapito mengi. Hapo bado hujawaza uchafuzi kutoka kwenye shughuli za migodini (Just incase !!!).
 
Ujnga was polisi baada ya kuwakama wangenyamaza kimya wakamkata aliyewatuma ila kitendo cha kuwatangaza tayari kimemwokoa aliyewatuma
 
Back
Top Bottom