Kigoma: Zaidi ya mita 300 za maji zaibiwa. Wezi wasakwa

Kigoma: Zaidi ya mita 300 za maji zaibiwa. Wezi wasakwa

Mkalukungone mwamba

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2022
Posts
862
Reaction score
1,755
Hivi Wakuu!

Hizi mita za maji zinazoibiwa si dili za watu kadhaa kutoka kwenye mamlaka husika jamani, maana wizi huu umetawala sana.

======

Zaidi ya mita 300 za maji zimeripotiwa kuibwa katika kipindi cha mwaka mmoja mkoani Kigoma. Mkuu wa mkoa huo, Thobias Andengenye ameitaka Mamlaka ya Maji safi na Usafi wa Mazingira Kigoma (KUWASA), wananchi pamoja na polisi kuendelea kuwasaka na kuweka mikakati madhubiti ya kukabiliana na kukithiri kwa wizi huo.

Soma Pia: Wizi wa Mita za Maji unazidi maeneo ya Moshono - Arusha, Mtaa wa Nanja, najiuliza wanaenda kuziuza wapi?

 
Bill za maji zikiwa kubwa kwa watumiaji, matatizo yake yanaanzia hapo
 
Back
Top Bottom