KERO Kigongo - Busisi: Hali ya huduma ya vyoo hairidhishi pamoja na wahusika kukusanya mapato

KERO Kigongo - Busisi: Hali ya huduma ya vyoo hairidhishi pamoja na wahusika kukusanya mapato

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua

TODAYS

JF-Expert Member
Joined
Apr 30, 2014
Posts
14,747
Reaction score
24,250
Pamoja na kukusanya mapato kila siku ya Shilingi 500 kupanda kivuko, lakini kuna Shilingi 200 kwa kila anayetumia huduma ya vyoo hapa ferry.

Kitu kinachochefua ni huduma mbovu ikiwepo na ubovu wa vyoo, maji hakuna, vyoo vichafu na hazifanyiwi usafi.

Nimeshangazwa sana na hali hii kutokana na mapato ambayo nilimuuliza msimamizi kwa lugha ya investigation akasema pesa inayokusanywa kila siku, kweli ni nyingi.

Mh. Bashungwa nadhani hapa napo kuna haja ya kutuma au kwenda kuangalia, kwanza hawatoi risiti yoyote so pesa sijui inaenda kwa nani?.

Picha hizi hapa.

IMG_20240519_163159.jpg

👆🏾 Ni sehemu ya haja ndogo upande wa Wanaume, hapo nimekutana na nyuki wakitafuta malisho yao pamoja na harufu kali.

IMG_20240519_163217.jpg

👆🏾 Hapo ni sehemu ya kunawa mikono, lakini hapafai hata wao wameona iwe sehemu ya kutunzia kisafisha choo, angalia tiles hapo chini.

IMG_20240519_163210.jpg

👆🏾Hii siyo chai ya maziwa ni maji yaliyopo ndani ya choo hapo kivukoni na hamna chombo cha kuchotea maji, japokuwa maji masafi ya ziwa Victoria yapo hatua 3 hapo nje.
 
Pamoja na kukusanya mapato kila siku ya shs 500 kupanda kivuko, lakini kuna shilingi 200 kwa kila anayetumia huduma ya vyoo hapa ferry.

Kitu kinachochefua ni huduma mbovu ikiwepo na ubovu wa vyoo, maji hakuna, vyoo vichafu na hazifanyiwi usafi.

Nimeshangazwa sana na hali hii kutokana na mapato ambayo nilimuuliza msimamizi kwa lugha ya investigation akasema pesa inayokusanywa kila siku, kweli ni nyingi.

Mh. Bashungwa nadhani hapa napo kuna haja ya kutuma au kwenda kuangalia, kwanza hawatoi risiti yoyote so pesa sijui inaenda kwa nani?.

Picha hizi hapa.

View attachment 3003517

👆🏾 Ni sehemu ya haja ndogo upande wa wanaumme, hapo nimekutana na nyuki wakitafuta malisho yao pamoja na harufu kali.

View attachment 3003521
👆🏾 Hapo ni sehemu ya kunawa mikono, lakini hapafai hata wao wameona iwe sehemu ya kutunzia kisafisha choo, angalia tiles hapo chini.

View attachment 3003526
👆🏾Hii siyo chai ya maziwa ni maji yaliyopo ndani ya choo hapo kivukoni na hamna chombo cha kuchotwa maji.
Ulipewa kibali cha kupiga picha?

Kwa nini unataka kuiaibisha Serikali?

Tii Sheria bila shuruti. Usitoe taarifa za "nchi" bila ruhusa!

Au unataka kutufukuzia watalii?
 
Ndio maana magugu maji yamerudi kwa kasi ziwa Victoria.
Hali hiyo iko kwenye vyoo vya Serikali, Je jamii inayoishi hapo, wanajisaidia vyooni au wanakata kimba popote wasipoonekana? 😳
 
Pamoja na kukusanya mapato kila siku ya shs 500 kupanda kivuko, lakini kuna shilingi 200 kwa kila anayetumia huduma ya vyoo hapa ferry.

Kitu kinachochefua ni huduma mbovu ikiwepo na ubovu wa vyoo, maji hakuna, vyoo vichafu na hazifanyiwi usafi.

Nimeshangazwa sana na hali hii kutokana na mapato ambayo nilimuuliza msimamizi kwa lugha ya investigation akasema pesa inayokusanywa kila siku, kweli ni nyingi.

Mh. Bashungwa nadhani hapa napo kuna haja ya kutuma au kwenda kuangalia, kwanza hawatoi risiti yoyote so pesa sijui inaenda kwa nani?.

Picha hizi hapa.

View attachment 3003517

👆🏾 Ni sehemu ya haja ndogo upande wa wanaumme, hapo nimekutana na nyuki wakitafuta malisho yao pamoja na harufu kali.

View attachment 3003521
👆🏾 Hapo ni sehemu ya kunawa mikono, lakini hapafai hata wao wameona iwe sehemu ya kutunzia kisafisha choo, angalia tiles hapo chini.

View attachment 3003526
👆🏾Hii siyo chai ya maziwa ni maji yaliyopo ndani ya choo hapo kivukoni na hamna chombo cha kuchotea maji, japokuwa maji masafi ya ziwa Victoria yapo hatua 3 hapo nje.
Kipato kinachopatikana hakitoshi kuhudumia vyoo kwa kiwango bora. "Nauli" ya kivuko ni sh 400/=. Kama walikutoza sh 500/= ni kwa sababu walikuona una hela. Kawadai chenchi yako.
 
Hukupata fursa ya kuingia kwenye vyoo vya ndani ya kivuko? Maa huko ndio hatari.

Kuna watu wanajiita Meneja, Nahodha na mqbaharia na wasaidizi kibao, tena walivyo wapuuzi wamefuga vitambi lakini vyoo vya ofisi zao zinazohudumia maelfubya watu kila siku , ni shida.

Utakuta choo kimoja kwenye kivuko cha Mv Sengerema ndionkinafanya kazi, hivyo abiria wote, wake kwa waume hupanga foleni kama enzi za bidhaa adimu, ilibkujisaidia.

Harufu kali, maji hakuna abiria wanagawana magonjwa na wengine wakitoka hapo wanakwenda kula vitumbua, maandazi nk bila kunawa!

Kuna maafisa wa taasisi inajiita TASAC hawa badala ya kufanya ukaguzi wa vivuko wao wako ofisini wanasuhi3i wenye navyo wapeleke ada na kupewa vyeti.

Vivuko vyote vinavyofanya kazi ndani ya ziwa Victoria kwabupande wa usafi hasa vyoo ni vichafu na vinapaswa kuungiwa.

Pia kuna wengine wanaojiita maafisa Afya hawa wanajua kuchukua rushwa kwa mama ntilie nabkuachabjukumu lao kwani hali ya usafi hasa wa vyoo vyabumma nchini ni Janga.
 
Pamoja na kukusanya mapato kila siku ya shs 500 kupanda kivuko, lakini kuna shilingi 200 kwa kila anayetumia huduma ya vyoo hapa ferry.

Kitu kinachochefua ni huduma mbovu ikiwepo na ubovu wa vyoo, maji hakuna, vyoo vichafu na hazifanyiwi usafi.

Nimeshangazwa sana na hali hii kutokana na mapato ambayo nilimuuliza msimamizi kwa lugha ya investigation akasema pesa inayokusanywa kila siku, kweli ni nyingi.

Mh. Bashungwa nadhani hapa napo kuna haja ya kutuma au kwenda kuangalia, kwanza hawatoi risiti yoyote so pesa sijui inaenda kwa nani?.

Picha hizi hapa.

View attachment 3003517

👆🏾 Ni sehemu ya haja ndogo upande wa wanaumme, hapo nimekutana na nyuki wakitafuta malisho yao pamoja na harufu kali.

View attachment 3003521
👆🏾 Hapo ni sehemu ya kunawa mikono, lakini hapafai hata wao wameona iwe sehemu ya kutunzia kisafisha choo, angalia tiles hapo chini.

View attachment 3003526
👆🏾Hii siyo chai ya maziwa ni maji yaliyopo ndani ya choo hapo kivukoni na hamna chombo cha kuchotea maji, japokuwa maji masafi ya ziwa Victoria yapo hatua 3 hapo nje.
Sijawahi kuona choo chochote ambacho ni public Tanzania kikiwa kisafi!
 
Hukupata fursa ya kuingia kwenye vyoo vya ndani ya kivuko? Maa huko ndio hatari.

Kuna watu wanajiita Meneja, Nahodha na mqbaharia na wasaidizi kibao, tena walivyo wapuuzi wamefuga vitambi lakini vyoo vya ofisi zao zinazohudumia maelfubya watu kila siku , ni shida.

Utakuta choo kimoja kwenye kivuko cha Mv Sengerema ndionkinafanya kazi, hivyo abiria wote, wake kwa waume hupanga foleni kama enzi za bidhaa adimu, ilibkujisaidia.

Harufu kali, maji hakuna abiria wanagawana magonjwa na wengine wakitoka hapo wanakwenda kula vitumbua, maandazi nk bila kunawa!

Kuna maafisa wa taasisi inajiita TASAC hawa badala ya kufanya ukaguzi wa vivuko wao wako ofisini wanasuhi3i wenye navyo wapeleke ada na kupewa vyeti.

Vivuko vyote vinavyofanya kazi ndani ya ziwa Victoria kwabupande wa usafi hasa vyoo ni vichafu na vinapaswa kuungiwa.

Pia kuna wengine wanaojiita maafisa Afya hawa wanajua kuchukua rushwa kwa mama ntilie nabkuachabjukumu lao kwani hali ya usafi hasa wa vyoo vyabumma nchini ni Janga.
"...wakitoka hapo wanaenda kula vitumbua... bila kunawa!"🥺
 
Ulipewa kibali cha kupiga picha?
Kwa nini unataka kuiaibisha Serikali?
Tii Sheria bila shuruti. Usitoe taarifa za "nchi" bila ruhusa!

Au unataka kutufukuzia watalii?
Vifungo vya shati langu vina hidden camera na hapo serikali haipati haibu ndugu bali wakusanya mapato.
 
Sijawahi kuona choo chochote ambacho ni public Tanzania kikiwa kisafi!
Nimefika hapa Morogoro kituo kikuu cha mabasi na nipo humu chooni hebu angalia hiki nini?.

IMG_20231210_122714.jpg

Papaa Gx nipo Morogoro hapa mkuu 🙂 !.
 
Kuna choo cha kulipia kipo ktk stendi ya mabasi ya wilaya pale Sikonge,mkoani Tabora,choo ni kichafu sijui ni cha mtu binafsi au cha serikali sijawai ona.
Hata kama mmiliki ni mtu binafsi serikali ilitakiwa kumwajibisha mmiliki wa choo ili aweke mazingira safi lakini hii nchi sijui nani katuloga mabwana afya ufanya kazi pale wanaposikia mgonjwa kafa na kipindupindu ndipo ushituka usingizini.
 
Pamoja na kukusanya mapato kila siku ya shs 500 kupanda kivuko, lakini kuna shilingi 200 kwa kila anayetumia huduma ya vyoo hapa ferry.

Kitu kinachochefua ni huduma mbovu ikiwepo na ubovu wa vyoo, maji hakuna, vyoo vichafu na hazifanyiwi usafi.

Nimeshangazwa sana na hali hii kutokana na mapato ambayo nilimuuliza msimamizi kwa lugha ya investigation akasema pesa inayokusanywa kila siku, kweli ni nyingi.

Mh. Bashungwa nadhani hapa napo kuna haja ya kutuma au kwenda kuangalia, kwanza hawatoi risiti yoyote so pesa sijui inaenda kwa nani?.

Picha hizi hapa.

View attachment 3003517

👆🏾 Ni sehemu ya haja ndogo upande wa wanaumme, hapo nimekutana na nyuki wakitafuta malisho yao pamoja na harufu kali.

View attachment 3003521
👆🏾 Hapo ni sehemu ya kunawa mikono, lakini hapafai hata wao wameona iwe sehemu ya kutunzia kisafisha choo, angalia tiles hapo chini.

View attachment 3003526
👆🏾Hii siyo chai ya maziwa ni maji yaliyopo ndani ya choo hapo kivukoni na hamna chombo cha kuchotea maji, japokuwa maji masafi ya ziwa Victoria yapo hatua 3 hapo nje.
Kwani ni lazima kujisaidia?
 
Back
Top Bottom