The Sunk Cost Fallacy
JF-Expert Member
- Dec 1, 2021
- 19,582
- 14,167
ππ Na kigogo kawaumbua huku πIla huyu jamaa ni kichwa sana, mama akimrudisha kwenye uwaziri halafu akaunganika na makamba, Nape, mwigulu itakuwa combination ya hatari sana, Tanzania tuna bahati sana kwa kweli kuna nchi zinatamani hawa vijana waende kuwatawala ila sisi kila siku tunawalaumu tu
View attachment 2328602View attachment 2328603
Tulia we punguaniKweli wewe ni JUHA
unaruhusiwa kuziweka mkuu, zilete tu zooteLeta comments zote usichambue hizo mbili !
Mo alimkomeshaTukutuku man!
Ndio laana ipoAfrica bara letu Lina shida gani? Au kuna laana somewhere
kivipi tena dada yangu huoni wananchi walivyo na furaha kuicchangia serikali yao kupitia tozo? na ni muhimu mawaziri wapewe new models za V8 hawawezi panda ist za walevi kama asemavyo kigwangwalaI hope umeandika kinyume ama?
wasipochunga maneno hayo watafanywa nini? inategemea mtu yuko nchi gani ,kwa Tanzania kweli uhofie?
ikifika uchaguzi anko mahela anakubeba, mkurugenzi analipwa na Rais atangaze mpinzani kashinda????
watu wana uhakika kabisa kupita bila kupingwa maana wapinzani hawajui kujaza forms.
kiggwaaaaaNileteeni Kigwangala...nileteeni Kigwangala...Nileteeeni Kigwangalaaaa
Fedheha za Uchafuzi Mkuu wa 2020 wa kutuletea wabunge wa mfukoni hayo ndio madhara yake
Ila huyu jamaa ni kichwa sana, mama akimrudisha kwenye uwaziri halafu akaunganika na makamba, Nape, mwigulu itakuwa combination ya hatari sana, Tanzania tuna bahati sana kwa kweli kuna nchi zinatamani hawa vijana waende kuwatawala ila sisi kila siku tunawalaumu tu
View attachment 2328602View attachment 2328603