Kigwangalla akumbushwe uanachama sio kadi bali dhamira na nia ya mwanachama kwa chama, Bashiru anavyo vyote

Kigwangalla akumbushwe uanachama sio kadi bali dhamira na nia ya mwanachama kwa chama, Bashiru anavyo vyote

Tafakari yetu

JF-Expert Member
Joined
Apr 19, 2021
Posts
1,505
Reaction score
4,427
Namshanga sana Dkt. Kigwangalla kumshambulia Dkt.Bashiru juu ya uanachama wake. Kama mwana chama wa CCM sijapendezwa na kauli yake kwa sababu CCM kinaamini kila mwanachama ni sawa na mwingine bila kujalisha ukongwe wake ndani ya Chama.

Bila kujalisha alikuwa nani kabla ya kuwa mwanaCCM ,Dkt.Bashiru alikuwa na haki zote za mwanachama baada ya kuwa mwanachama wa CCM hivyo ninaamini alikuwa ana haki zote za kuwa KM wa CCM kama wanachama wa vyama vingine.

Pia, ukisoma kanuni na katiba ya CCM juu ya kukoma uanachama wa mwanachama unaona uanachama unaweza kukoma kwa mwanachama kujiunga na chama kingine. Ninaamini kipengele hiki kipo kwa kila chama.

Kwa mantiki hii Dkt.Bashiru hakuwa katibu mkuu wa CCM kwa kujiteua na mchakato wake ulipitia taratibu zote kama kupitishwa na NEC na CC, Je ni kweli NEC na CC ilibariki mwana CUF kuwa katibu mkuu?

Pia, tukumbuke kabla ya kuwa Katibu mkuu alikuwa mwenyekiti wa kamati iliyoundwa Mali za chama na kamati ile ilipata baraka za kamati kuu. Je, bado tunaendelea mashaka uanachama wa Bashiru ?

Zaidi ,uanachama sio kadi ni imani na Dkt.Bashiru kaiishi imani ya chama na hatupaswi kuwa na mashaka na uanachama wake kwa kuwa ni mtiifu kwa Chama.

Maneno ya Kigwangalla sio tu yakupotosha ni kubomoa
 
Kigwa ni wa kupuuzwa tu, mtu anayediriki kutoa mtoto wake kafara ili apate uwaziri huyo ni shetani kabisa

..Dr.Bashiru anaponzwa na jinsi alivyokuwa akiwaandama na kuwashughulikia wakosoaji wa wakati wa Magufuli.

..Kama Dr.Bashiru ni muungwana basi ajitokeze aombe radhi kwa yaliyokuwa yakiwapata wakosoaji wakati alipokuwa Katibu mkuu wa Ccm.

..Bashiru akikiri na kuungama makosa yake atakuwa huru kutoa mawazo yake, na atastahili utetezi toka kwa wapenda demokrasia na uhuru wa mawazo.
 
Kuna taarifa hospitali ya Mirembe Sasa hivi imezidiwa na wagonjwa wengi ni watumishi wa serikali, na wewe si vibaya ukicheck afya yako ya akili, siyo mzima wewe.
Huko CCM hakuna mzima na hivi wanavyopopoana ndiyo kabisa wataishia kuuana, na sisi kazi yetu ni kuchochea kuni ili wamalizane kabisa
briquettes-template.jpg
 
Naunga mkono hoja!.
P
Unaunga mkono hoja ipi? halafu wewe ndio msomi wa LLB Udsm?

Unakidhalilisha Chuo mbele ya watu wenye akili.

Ukigombea nafasi yoyote kwenye chama chochote sifa ya kwanza ni kuwa mwanachama na unajaza namba yako ya uanachama.

Kwa kuokota watu mitaani na kuwapa vyeo ndani ya chama hii ndio inathibitisha Magufuli alikuwa ni mtawala wa kiimla, hakuna na tofauti na kina Idd Amin.

Huwezi kumuokota mtu barabarani kama Bashiru ambaye hana sifa za kuteuliwa nafasi hiyo wala hajawahi kuhudhuria madarasa ya kiitikadi ukampa cheo cha ukatibu mkuu.

Ukitetea upuuzi huu wa Magufuli nitashangaa sana.
 
Unaunga mkono hoja ipi? halafu wewe ndio msomi wa LLB Udsm?

Unakidhalilisha Chuo mbele ya watu wenye akili.

Ukigombea nafasi yoyote kwenye chama chochote sifa ya kwanza ni kuwa mwanachama na unajaza namba yako ya uanachama.

Kwa kuokota watu mitaani na kuwapa vyeo ndani ya chama hii ndio inathibitisha Magufuli alikuwa ni mtawala wa kiimla, hakuna na tofauti na kina Idd Amin.

Huwezi kumuokota mtu barabarani kama Bashiru ambaye hana sifa za kuteuliwa nafasi hiyo wala hajawahi kuhudhuria madarasa ya kiitikadi.

Ukitetea upuuzi huu Magufuli nitashangaa sana.
Vyeo vya CCM vyote vina utaratibu na mchakato na moja ya mchakato ni kupendekezwa na kuteuliwa na hapa kikao husika kinakujadili. Ukatibu Mkuu wa CCM sio cheo cha kupewa kilabuni ingekuwa hivyo walevi wengi wangepewa.

Hiki ulichoandika aibu nimesikia Mimi, binafsi naamini mchakato wowote wa kidemokrasia haumzuii yeyote kugombea au kuteuliwa na hili ndilo linafanya demo
Unaunga mkono hoja ipi? halafu wewe ndio msomi wa LLB Udsm?

Unakidhalilisha Chuo mbele ya watu wenye akili.

Ukigombea nafasi yoyote kwenye chama chochote sifa ya kwanza ni kuwa mwanachama na unajaza namba yako ya uanachama.

Kwa kuokota watu mitaani na kuwapa vyeo ndani ya chama hii ndio inathibitisha Magufuli alikuwa ni mtawala wa kiimla, hakuna na tofauti na kina Idd Amin.

Huwezi kumuokota mtu barabarani kama Bashiru ambaye hana sifa za kuteuliwa nafasi hiyo wala hajawahi kuhudhuria madarasa ya kiitikadi ukampa cheo cha ukatibu mkuu.

Ukitetea upuuzi huu wa Magufuli nitashangaa sana.
Unaunga mkono hoja ipi? halafu wewe ndio msomi wa LLB Udsm?

Unakidhalilisha Chuo mbele ya watu wenye akili.

Ukigombea nafasi yoyote kwenye chama chochote sifa ya kwanza ni kuwa mwanachama na unajaza namba yako ya uanachama.

Kwa kuokota watu mitaani na kuwapa vyeo ndani ya chama hii ndio inathibitisha Magufuli alikuwa ni mtawala wa kiimla, hakuna na tofauti na kina Idd Amin.

Huwezi kumuokota mtu barabarani kama Bashiru ambaye hana sifa za kuteuliwa nafasi hiyo wala hajawahi kuhudhuria madarasa ya kiitikadi ukampa cheo cha ukatibu mkuu.

Ukitetea upuuzi huu wa Magufuli nitashangaa sana.
Tabia ya ubinafsi na chuki ndio tabia zinazoturudisha nyuma sana watanzania. Hapa umeonesha kusikitishwa na aliyekuwa mwanaCUF kupewa ukatibu mkuu.

Dkt.Bashiru so far mpaka sasa ni moja ya makatibu wakuu bora kuwahi kutokea CCM kwa hiyo aliifanya kazi ya chama vizuri sana.

Maneno kwamba alitokea CUF sio tu yanasikitisha ila yanafanya tujiulize nini dhamiria yetu kwa sababu tunavyozungumzia idadi ya wanachama wa CCM waliopo Leo hatuachi kuisema ya wanachama waliojiunga jana. Maana yangu ni kwamba haijalishi ukongwe wa mwanaCCM wote wana sifa sawa mbele ya CCM
 
What has my LL.B got to do with this?!. Hatuwezi kujadili hoja bila kunyoosheana vidole vya kutambia usomi?. Hiyo LL. B inahusika vipi na mada husika?.
P
Inashangaza msomi wa sheria kuwa mbumbumbu wa sheria, katiba, kanuni na taratibu za vyama.

Haishangazi mpaka leo hujui kwamba kwa mujibu wa katiba ya Chadema Halima Mdee na wenzake si mwanachama wa Chadema na hakuna mahakama yoyote hapa duniani wanaweza kushinda kesi hiyo.
 

Attachments

  • IMG-20221121-WA0015.jpg
    IMG-20221121-WA0015.jpg
    70.5 KB · Views: 1
Vyeo vya CCM vyote vina utaratibu na mchakato na moja ya mchakato ni kupendekezwa na kuteuliwa na hapa kikao husika kinakujadili...
Wewe ni mbumbumbu, aliyekudanganya wanachama wote wana sifa sawa kakupandisha mtumbwi wa vibwengo, kusingekuwa na vikao vya kuchuja wagombea na kupata majina, majina yote yangekuwa yanaachwa yakapigiwe kura na mwanachama.

Wewe ni tutusa.
 
Wewe ni mbumbumbu, aliyekudanganya wanachama wote wana sifa sawa kakupandisha mtumbwi wa vibwengo, kusingekuwa na vikao vya kuchuja wagombea na kupata majina, majina yote yangekuwa yanaachwa yakapigiwe kura na mwanachama.

Wewe ni tutusa.
Ni kweli naweza kuwa tutusa ila sio kwa mambo ninayoyajua na kuyaamini.

Usawa unaozungumziwa hapa sio nafasi ya kuteuliwa kugombea ila Uhuru wa kugombea
 
Inashangaza msomi wa sheria kuwa mbumbumbu wa sheria, katiba, kanuni na taratibu za vyama.
If it makes you happy, kutukana watu humu kuwa ni mbumbumbu wa sheria wakati issue yenyewe sio ya kikatiba, wala ya kisheria, au ya kikanuni, hii ni issue ya kiutaratibu tuu!. Naomba kukiri "mimi Pasco Mayalla ni mbumbumbu wa sheria". Be happy!.
P
 
Back
Top Bottom