Kigwangalla akumbushwe uanachama sio kadi bali dhamira na nia ya mwanachama kwa chama, Bashiru anavyo vyote

Kigwangalla akumbushwe uanachama sio kadi bali dhamira na nia ya mwanachama kwa chama, Bashiru anavyo vyote

Mbumbumbu si tusi, ni kivumishi cha sifa ya mtu.

Mimi si mwanasheria wala si mjuzi wa sheria Mimi ni mbumbumbu kwenye agle ya sheria.
Kumtukana mtu sio lazima kumtukana tusi!. Mbumbumbu KWA mujibu wa Kamusi ya Kiswahili Sanifu (TUKI) toleo la tatu la mwaka 2014, maana ya neno mbumbumbu ni mpumbavu, juha, fala, zuzu.
P
 
Kigwangala, mmoja kati ya wapuuzi wengi waliofanikiwa kwenda shule, lakini shule/elimu waliyopata haikuwasaidia lolote bali kuibua tabia mbovu walizojaaliwa kuwa nazo.
Ubovu wa CCM ulipofikia sasa, ndio unaowafanya hawa wapuuzi ndio wawe mstari wa mbele kama mfano wa ubovu wa chama hicho.

Ukitaka kujua nisemalo ni kweli, hebu taja mtu makini yeyote toka huko ndani ya CCM uliyemsikia akiropoka hovyo hovyo kama hawa wapuuzi.
 
Back
Top Bottom