Kigwangalla amechanganyikiwa, hakujiandaa na anguko lake la kisiasa

Huyu kweli mwamba,licha ya kashfa lakini sijawahi ona akiburuzwa mahakamani

Ova
 
Maoni kwa:

Mr. Gentleman na Mzimu wa Kolelo

Binafsi nilichomuelewa HK hakuwa kiongozi mbaya na pia hakuwa mzuri sana.

Kuguswa kwa sekta yake ni kitu ambacho sidhani kama wa-Tanzania wengi waliona alikuja na wazo zuri sana kuitangaza chapa ya "Paa la Afrika" mlima Kimanjaro na wasanii wakaenda nini faida yake ni hasara angali Visit Rwanda wanachofanya kuitangaza Rwanda.

Ilhali kama hiyo haitoshi wizara husika ikampa kijana shabiki kindakindaki wa Manchester City kutangaza vivutio vyetu. Je, sisi tulikuwa tuna mpango mkakati wa muda mrefu kujitangaza ?

Pengine inawezekana alikuwa na maono lkn ni lazima kwa nchi zetu za Afrika nguzo za watu kupata madaraka hazifuatwi hasa ile ya kuwekwa na wananchi.

Sakata la Simba inawezekana kabisa ikawa ni utashi na pia kama mwana-Simba alimezwa na mahaba mazito ya washabiki wa Simba kulewa na mahaba "ujanja mwingi,mbele giza".

Moyo wa mwanadamu ni kigeugeu angeanzia wapi kusema suala la chanjo nyakati zile. Dunia bado ipo kwenye bumbuwazi zinazosikika ni sauti na kelele ya kitu ambacho wanadamu wanataka kusikia na sio uhalisia wa kile wanachokiona muda huu.
 
Tatizo Saidi Bagaile aliwekeza sana kwenye ulozi,shirki na kutoa makafara
 
Naona anatumia nguvu kubwa sana kujaribu kuweka mambo sawa kulinda jina lake, anashinda Twitter akijisafisha. Mara utamuona Instagram akijisafisha. Ametembea baadhi ya media kujisafisha. Juzi kaita wazee wa jimboni kwake kujisafisha. Well and good ila the damage is done.
 
Kwani Hamis mwenyewe anasemaje?
Naona anatumia nguvu kubwa sana kujaribu kuweka mambo sawa kulinda jina lake, anashinda Twitter akijisafisha. Mara utamuona Instagram akijisafisha. Ametembea baadhi ya media kujisafisha. Juzi kaita wazee wa jimboni kwake kujisafisha. Well and good ila the damage is done.
 
Nikisoma Thread kisha ina Neno "Well" nasikia kinyaa
 
Kigwangalla alikuwa anapata vyeo kwa kumwaga damu za wanafamilia wake. Aliua mtoto wake akapata ubunge. Then akaua baba yake akapata uwaziri. Yale ma FREE Mason yake yanataka damu. Kwa hiyo labda aue mkewe sasa ndiyo atapata uwaziri kwa Rais SSH
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…