Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha siasa mave mave, jamaa ana hoja, ndio maana mnaoigwa hamsa kwa umbumbumbu huuMkopo wa Tukutuku ndio Tatizo 😂
Wazo Bora kabisa ndani ya jf tangu mwezi uanze
Dewji na Kigwangala watafutiwe ulingo, tuweke pesa wapigane ugomvi uishe.
njoo uwekeze wewe kama vipi,,,sio unamzodoa mwenzako wakati wewe ata nyumba yako umejenga kwa rushwa ulipokuwa waziri!!!,"pua kama kitako cha baiskeli"Kupitia ukurasa wake wa mtandao wa X, Mbunge na Mwanasimba Hamis Kigwangalla ameandika ujumbe wa mafumbo kwenda kwa mmiliki wa Simba "Mo" akitumia "codename" ya "Glazer" ambaye ni mmiliki wa Manchester United
Kigwa ameandika:
"Niseme nisiseme? Acha niseme tu! Mangungu, Try Again na wengine hawana shida kabisa…Glazer ni tapeli, janja janja, fitna na bahili kweli kweli! Siyo kama Ghalib ama Yusuf, wale wamenyooka, wanatupia mzigo wa Maana kwenye timu! Sisi mpaka leo Glazer hajalipia hisa zake…I repeat mpaka leo hii! Ni miaka mingapi hiyo? Unajua sababu yake? Ulidhani GSM tungemjua bila Manji kuondoka Yanga? Ukitaka kwenda peponi lazima ufe kwanza."
View attachment 2808632