Kigwangalla asema kukataza mabegi ya shangazi kaja kwenye treni ya SGR ni ubaguzi wa wazi

Kigwangalla asema kukataza mabegi ya shangazi kaja kwenye treni ya SGR ni ubaguzi wa wazi

Nakubaliana na uharibifu wa wabongo. Ila naona kama vile huu mradi wa train unaenda kugeuzwa kuwa ni usafiri fulani wa kishua tofauti na lengo la awali la awali.
Tuna shida ya kuanza kujenga vitu halafu vikiisha ndipo tunakuja na plan ya kuvirun au tunabadilisha plan ya mwanzo baada ya kukamilika. Nilidhani train italeta gharama nafuu za kusafirisha raia kuliko mabasi naona ni kitu tofauti basi litabaki kuwa nafuu.
Kwann inclusion na fairness inaongelewa kwenye SGR tu? Mbona haiongelewi kwenye bombardier? Au hizo bombardier hazikununuliwa kwa kodi za watanzania wote?
 
nazani wanaweza weka behewa moja nyuma ya tren ya abililia kwa ajili ya mizigo midogomido na hao mbuzi kuku sema sasa kwa hilo dude linavyojali muda shida itaanzia apo mtu anashuka njiani kukuwake wapo nyuma huko mpka kuwatafuta na kuwatoa itachukua dakika ngapi na mkojo wa bebelu mbuzi unavyonuka aisee bora wakataze tu haina jinsi
 
Kwann inclusion na fairness inaongelewa kwenye SGR tu? Mbona haiongelewi kwenye bombardier? Au hizo bombardier hazikununuliwa kwa kodi za watanzania wote?
Ndege inajulikana ni usafiri wa bei ghali ila usafiri wa train dunian kote huwa ni cheap kuliko usafiri wa hata basi. And by the way ndege uzito ni jambo la msingi ndio maana ndege wanachaji kwa uzito ila maji wanachaji kwa CBM.
Mimi hoja yangu iko kwenye nauli. Maana mwanzo ilikuwa kama vile hii train inaenda kuwa mbadala wa basi na cheap ila sasa ni kama vile ni usafiri wa tabaka fulani kwa bei zilizopo. Yani nauli ya basi ni cheap sana kuliko train naona kama vile wamehama kwenye wazo la awali sawa na walivyohama kwenye bwawa na Nyerere lilolenga kushusha bei ya umeme.
 
Sh
Aache blahblah

Huo mradi wautunze maana wabongo wanajulikana kwa kuharibu mali ustaarabu sifuri

Ova
Shangazi kaja unaharibu miundo mbinu, kitu kikubwa mzigo uweze kuingia kwenye eneo la mizigo, usiwe ni usumbufu Kwa abiria wengine. Pia kuhusu chakula si kuna vyombo vya kutupia Chakula kwenye behewa Husika na katika vituo vya Gari Moshi .
 
Hiso ni Standards hakuna ubaguzi.

Mbona wao wanatembelea ma-vieti ila watendaji wanawapa pikipiki?... Huo sio ubaguzi?

Mbona huku Mtwara hatuna Reli wala SGR, Huo nao ni ubaguzi?

Kwan si wakapande Hood
 
Kigwangala aandika haya katika ukurasa wake wa X;

Hii ni aina ya mambo ambayo hatuwezi kunyamaza. Ni aina ya mambo yenye viashiria vya ‘ubaguzi’ wa wazi.

State crafting inataka kulinda tunu zilizoasisi Taifa. Mojawapo muhimu na kubwa ni usawa, na inclusion. Hata siku moja tusithubutu kuruhusu ama kufanya mambo yanayoigawa nchi na kuzishambulia tunu za Taifa letu kama usawa.

Yeyote anayejaribu kuwabagua wananchi wenzetu ambao bado wapo kwenye hali ya chini ya uchumi kwa namna yoyote ile tumkemee. Hatutakii mema.

SGR ni mali ya watanzania wote bila kujali hali zao na shughuli zao wanazofanya, siyo mali ya wasomi na washua tu, hata wauza kuku inawahusu.

Juzi nilitoka na mama yangu mzazi kwenda lunch pale Montana, Millenium towers, mama akanikumbusha story ya utotoni mwangu nikienda kuwasalimu baba zangu kule Goweko Mlimani nikipewa zawadi ya kuku na Shangazi zangu. Hivi leo unategemea mwanangu akienda kule akapewa zawadi ya kuku na babu zake amuache kweli?

Ukisoma autobiography ya Lee Kuan Yew, From Third World to First, The Singapore Story, anaeleza walipojenga flats na watu wakawa wanahamishwa na serikali kutoka kwenye squatters kwenda kwenye hizo flats, walikuwa wanapanda kwenye lift na ng’ombe wao! Hawakuzuiliwa. Washua waligundua ni kazi ngumu sana kukitoa kijiji kichwani, wali-accommodate mahitaji ya warugaruga. They didn’t condemn.

Taifa hujengwa namna hii sasa. Tuendelee lakini tusimuache mtu nyuma. Tujitahidi kuweka mifumo na miundo itakayowezesha kila mmoja wetu kufaidi mema ya nchi kwa urefu wa ukamba wake.

Unajua kwa nini kila anayetoboa kutoka usweken anaanza kujenga ukuta wa fence kabla hata ya nyumba, baadaye akihamia anaongezea electric fencing, CCTV cameras, security company kwa ajili ya rapid response, ananunua silaha zake anaweka chini ya mto, anafuga na German shepherds wakali, na bado kwenye milango na madirisha ameweka vyuma? Equity! Equity! Equity…my countrymen! Tuishi na wengine waishi…ukiwa na maguvu ya kumzaba mtu makofi, muachie haki yake ya kulia. Fairness! Fairness! Fairness! That’s the name of the game.
Naungana nae ,sie watz bado maskini sana na hii kitu imekamua sana aisee
 
Muhindi yuko anasajili wachezaji yeye anajifanya kama hayupo anasubiri timu ifanye vibaya aanze kuimba taarabu zake kama kawaida
 
Kigwangala aandika haya katika ukurasa wake wa X;

Hii ni aina ya mambo ambayo hatuwezi kunyamaza. Ni aina ya mambo yenye viashiria vya ‘ubaguzi’ wa wazi.

State crafting inataka kulinda tunu zilizoasisi Taifa. Mojawapo muhimu na kubwa ni usawa, na inclusion. Hata siku moja tusithubutu kuruhusu ama kufanya mambo yanayoigawa nchi na kuzishambulia tunu za Taifa letu kama usawa.

Yeyote anayejaribu kuwabagua wananchi wenzetu ambao bado wapo kwenye hali ya chini ya uchumi kwa namna yoyote ile tumkemee. Hatutakii mema.

SGR ni mali ya watanzania wote bila kujali hali zao na shughuli zao wanazofanya, siyo mali ya wasomi na washua tu, hata wauza kuku inawahusu.

Juzi nilitoka na mama yangu mzazi kwenda lunch pale Montana, Millenium towers, mama akanikumbusha story ya utotoni mwangu nikienda kuwasalimu baba zangu kule Goweko Mlimani nikipewa zawadi ya kuku na Shangazi zangu. Hivi leo unategemea mwanangu akienda kule akapewa zawadi ya kuku na babu zake amuache kweli?

Ukisoma autobiography ya Lee Kuan Yew, From Third World to First, The Singapore Story, anaeleza walipojenga flats na watu wakawa wanahamishwa na serikali kutoka kwenye squatters kwenda kwenye hizo flats, walikuwa wanapanda kwenye lift na ng’ombe wao! Hawakuzuiliwa. Washua waligundua ni kazi ngumu sana kukitoa kijiji kichwani, wali-accommodate mahitaji ya warugaruga. They didn’t condemn.

Taifa hujengwa namna hii sasa. Tuendelee lakini tusimuache mtu nyuma. Tujitahidi kuweka mifumo na miundo itakayowezesha kila mmoja wetu kufaidi mema ya nchi kwa urefu wa ukamba wake.

Unajua kwa nini kila anayetoboa kutoka usweken anaanza kujenga ukuta wa fence kabla hata ya nyumba, baadaye akihamia anaongezea electric fencing, CCTV cameras, security company kwa ajili ya rapid response, ananunua silaha zake anaweka chini ya mto, anafuga na German shepherds wakali, na bado kwenye milango na madirisha ameweka vyuma? Equity! Equity! Equity…my countrymen! Tuishi na wengine waishi…ukiwa na maguvu ya kumzaba mtu makofi, muachie haki yake ya kulia. Fairness! Fairness! Fairness! That’s the name of the game.
Asitafute kiki za kijinga; mbona haruhusu wenye baisikeli kuendesha katikati ya barabara kwa vile ni barabara ya watanzania wote?

Iwapo kila abiria akiingia na hilo shangazi kaja ndania ya behewa basi inaaza kuwa ni vigumu hata kwa abiria kuondoka kitini kwenda hata uani tu. Kuna mambo mengine watu tuwe tunayajadiri kwa mapana; wengie hapa wanaaandika kwa kufikiria shangazi kaja moja tu, bila kufikiria iwapo kila abiaria atakuwa nalo.
 
Kigwangala aandika haya katika ukurasa wake wa X;

Hii ni aina ya mambo ambayo hatuwezi kunyamaza. Ni aina ya mambo yenye viashiria vya ‘ubaguzi’ wa wazi.

State crafting inataka kulinda tunu zilizoasisi Taifa. Mojawapo muhimu na kubwa ni usawa, na inclusion. Hata siku moja tusithubutu kuruhusu ama kufanya mambo yanayoigawa nchi na kuzishambulia tunu za Taifa letu kama usawa.

Yeyote anayejaribu kuwabagua wananchi wenzetu ambao bado wapo kwenye hali ya chini ya uchumi kwa namna yoyote ile tumkemee. Hatutakii mema.

SGR ni mali ya watanzania wote bila kujali hali zao na shughuli zao wanazofanya, siyo mali ya wasomi na washua tu, hata wauza kuku inawahusu.

Juzi nilitoka na mama yangu mzazi kwenda lunch pale Montana, Millenium towers, mama akanikumbusha story ya utotoni mwangu nikienda kuwasalimu baba zangu kule Goweko Mlimani nikipewa zawadi ya kuku na Shangazi zangu. Hivi leo unategemea mwanangu akienda kule akapewa zawadi ya kuku na babu zake amuache kweli?

Ukisoma autobiography ya Lee Kuan Yew, From Third World to First, The Singapore Story, anaeleza walipojenga flats na watu wakawa wanahamishwa na serikali kutoka kwenye squatters kwenda kwenye hizo flats, walikuwa wanapanda kwenye lift na ng’ombe wao! Hawakuzuiliwa. Washua waligundua ni kazi ngumu sana kukitoa kijiji kichwani, wali-accommodate mahitaji ya warugaruga. They didn’t condemn.

Taifa hujengwa namna hii sasa. Tuendelee lakini tusimuache mtu nyuma. Tujitahidi kuweka mifumo na miundo itakayowezesha kila mmoja wetu kufaidi mema ya nchi kwa urefu wa ukamba wake.

Unajua kwa nini kila anayetoboa kutoka usweken anaanza kujenga ukuta wa fence kabla hata ya nyumba, baadaye akihamia anaongezea electric fencing, CCTV cameras, security company kwa ajili ya rapid response, ananunua silaha zake anaweka chini ya mto, anafuga na German shepherds wakali, na bado kwenye milango na madirisha ameweka vyuma? Equity! Equity! Equity…my countrymen! Tuishi na wengine waishi…ukiwa na maguvu ya kumzaba mtu makofi, muachie haki yake ya kulia. Fairness! Fairness! Fairness! That’s the name of the game.
NA DHARAU KUBWAA SANA AISEE
 
Kigwangala aandika haya katika ukurasa wake wa X;

Hii ni aina ya mambo ambayo hatuwezi kunyamaza. Ni aina ya mambo yenye viashiria vya ‘ubaguzi’ wa wazi.

State crafting inataka kulinda tunu zilizoasisi Taifa. Mojawapo muhimu na kubwa ni usawa, na inclusion. Hata siku moja tusithubutu kuruhusu ama kufanya mambo yanayoigawa nchi na kuzishambulia tunu za Taifa letu kama usawa.

Yeyote anayejaribu kuwabagua wananchi wenzetu ambao bado wapo kwenye hali ya chini ya uchumi kwa namna yoyote ile tumkemee. Hatutakii mema.

SGR ni mali ya watanzania wote bila kujali hali zao na shughuli zao wanazofanya, siyo mali ya wasomi na washua tu, hata wauza kuku inawahusu.

Juzi nilitoka na mama yangu mzazi kwenda lunch pale Montana, Millenium towers, mama akanikumbusha story ya utotoni mwangu nikienda kuwasalimu baba zangu kule Goweko Mlimani nikipewa zawadi ya kuku na Shangazi zangu. Hivi leo unategemea mwanangu akienda kule akapewa zawadi ya kuku na babu zake amuache kweli?

Ukisoma autobiography ya Lee Kuan Yew, From Third World to First, The Singapore Story, anaeleza walipojenga flats na watu wakawa wanahamishwa na serikali kutoka kwenye squatters kwenda kwenye hizo flats, walikuwa wanapanda kwenye lift na ng’ombe wao! Hawakuzuiliwa. Washua waligundua ni kazi ngumu sana kukitoa kijiji kichwani, wali-accommodate mahitaji ya warugaruga. They didn’t condemn.

Taifa hujengwa namna hii sasa. Tuendelee lakini tusimuache mtu nyuma. Tujitahidi kuweka mifumo na miundo itakayowezesha kila mmoja wetu kufaidi mema ya nchi kwa urefu wa ukamba wake.

Unajua kwa nini kila anayetoboa kutoka usweken anaanza kujenga ukuta wa fence kabla hata ya nyumba, baadaye akihamia anaongezea electric fencing, CCTV cameras, security company kwa ajili ya rapid response, ananunua silaha zake anaweka chini ya mto, anafuga na German shepherds wakali, na bado kwenye milango na madirisha ameweka vyuma? Equity! Equity! Equity…my countrymen! Tuishi na wengine waishi…ukiwa na maguvu ya kumzaba mtu makofi, muachie haki yake ya kulia. Fairness! Fairness! Fairness! That’s the name of the game.
Najuwa kwa nini anataka Shangazi kaja ziwepo. Ni kwamba wale waganga wake wa ramli huwa wanaweka tunguli zao kwenye shangazi kaja. Pembe na vibuyu havikai kwenye begi au sandukuni.

Awawezeshe wanyamwezi wenzie wapate mabegi ya kusafiria. Shangazi kaja mwisho NZEGA. Hatutaki uchafu kwenye SGR yetu.
 
Watanzania hatuelewi tunataka nini, unabebaje kuku na shangazi kaja kwenye train? Ustaarabu ni neno gumu Sana Kwa watanzania
Tunataka usafiri wa treni ya umeme kama huu

1720806292974.png
 
Hawa ndio mama zetu na ndg zetu pia wanaotumia hzo shangazi kaja achilia mbali kuwa ni moja ya walipa kodi.



Hapo Tz bado ni nchi ambayo uchumi wake ni dhoofu lakini tunaishi kwa kubaguana namna hii tena sauti ya mamlaka kabisa.



Huu ni upumbafu na ujinga mixer ulimbukeni kiwango cha lami.
 
Back
Top Bottom