johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Hizi tetesi zimesikika hapa Sanya juu kwenye tukio kubwa la kumsimika Chifu wa Siha Mangi Kileo.
Viongozi mbalimbali wa serikali wapo hapa hivyo tetesi kama hizi siyo za kupuuza.
Mangi Kileo ni miongoni mwa wasomi WANNE wa kwanza wa Tanzania kugraduate Makerere akiwemo pia mzee Cleopa David Msuya.
Mangi Kileo amehudumu serikalini katika nafasi mbalimbali za uongozi ikiwemo Katibu mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii ambayo Kigwangalla alipata kuhudumu pia.
Lisemwalo lipo kama halipo laja.
Mungu wa mbinguni awabariki sana!
Karibu bwashee hujachelewa ni sherehe ya wiki nzima!Ahsante Kwa taarifa ya kusimikwa Chifu.
Ikiliwa na wengi utakuwa ni Mkate siyo Keki!Hii nchi keki ya Taifa inaliwa na wachache
Aahhhhhh wapi bhanaaaaaa!Hizi tetesi zimesikika hapa Sanya juu kwenye tukio kubwa la kumsimika Chifu wa Siha Mangi Kileo.
Viongozi mbalimbali wa serikali wapo hapa hivyo tetesi kama hizi siyo za kupuuza.
Mangi Kileo ni miongoni mwa wasomi WANNE wa kwanza wa Tanzania kugraduate Makerere akiwemo pia mzee Cleopa David Msuya.
Mangi Kileo amehudumu serikalini katika nafasi mbalimbali za uongozi ikiwemo Katibu mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii ambayo Kigwangalla alipata kuhudumu pia.
Lisemwalo lipo kama halipo laja.
Mungu wa mbinguni awabariki sana!
Kumrudisha Kigwangala madarakani ni sawa na mamlaka ya uteuzi kuwadhihirishia Watanzania kuwa ina tatizo upstairs na haikustahili kuwa ikulu.Hizi tetesi zimesikika hapa Sanya juu kwenye tukio kubwa la kumsimika Chifu wa Siha Mangi Kileo.
Viongozi mbalimbali wa serikali wapo hapa hivyo tetesi kama hizi siyo za kupuuza.
Mangi Kileo ni miongoni mwa wasomi WANNE wa kwanza wa Tanzania kugraduate Makerere akiwemo pia mzee Cleopa David Msuya.
Mangi Kileo amehudumu serikalini katika nafasi mbalimbali za uongozi ikiwemo Katibu mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii ambayo Kigwangalla alipata kuhudumu pia.
Lisemwalo lipo kama halipo laja.
Mungu wa mbinguni awabariki sana!
Hayo ni mawazo yako bwashee!Kumrudisha Kigwangala madarakani ni sawa na mamlaka ya uteuzi kuwadhihirishia Watanzania kuwa ina tatizo upstairs na haikustahili kuwa ikulu.
Kigwa hawezi kupewa uwaziri katuHizi tetesi zimesikika hapa Sanya juu kwenye tukio kubwa la kumsimika Chifu wa Siha Mangi Kileo.
Viongozi mbalimbali wa serikali wapo hapa hivyo tetesi kama hizi siyo za kupuuza.
Mangi Kileo ni miongoni mwa wasomi WANNE wa kwanza wa Tanzania kugraduate Makerere akiwemo pia mzee Cleopa David Msuya.
Mangi Kileo amehudumu serikalini katika nafasi mbalimbali za uongozi ikiwemo Katibu mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii ambayo Kigwangalla alipata kuhudumu pia.
Lisemwalo lipo kama halipo laja.
Mungu wa mbinguni awabariki sana!
Huyu ambae siku ya kwanza tu kafika wizarani akawafungia watumishi wa wizara nje ya geti?Honestly, Kigwangalla alipiga kazi Wizara ya Afya.
Ndio anaenda kuendeleza pale alipoachia!Honestly, Kigwangalla alipiga kazi Wizara ya Afya.
Kwani kigwangala ni kabila gani?Hizi tetesi zimesikika hapa Sanya juu kwenye tukio kubwa la kumsimika Chifu wa Siha Mangi Kileo.
Viongozi mbalimbali wa serikali wapo hapa hivyo tetesi kama hizi siyo za kupuuza.
Mangi Kileo ni miongoni mwa wasomi WANNE wa kwanza wa Tanzania kugraduate Makerere akiwemo pia mzee Cleopa David Msuya.
Mangi Kileo amehudumu serikalini katika nafasi mbalimbali za uongozi ikiwemo Katibu mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii ambayo Kigwangalla alipata kuhudumu pia.
Lisemwalo lipo kama halipo laja.
Mungu wa mbinguni awabariki sana!
Ikiliwa na wengi utakuwa ni Mkate siyo Keki!
Bwashe unapeleka ujumbe gani kwa Dk Mwaka? Foreplan clinic.😅😅Hizi tetesi zimesikika hapa Sanya juu kwenye tukio kubwa la kumsimika Chifu wa Siha Mangi Kileo.
Viongozi mbalimbali wa serikali wapo hapa hivyo tetesi kama hizi siyo za kupuuza.
Mangi Kileo ni miongoni mwa wasomi WANNE wa kwanza wa Tanzania kugraduate Makerere akiwemo pia mzee Cleopa David Msuya.
Mangi Kileo amehudumu serikalini katika nafasi mbalimbali za uongozi ikiwemo Katibu mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii ambayo Kigwangalla alipata kuhudumu pia.
Lisemwalo lipo kama halipo laja.
Mungu wa mbinguni awabariki sana!
Hizi tetesi zimesikika hapa Sanya juu kwenye tukio kubwa la kumsimika Chifu wa Siha Mangi Kileo.
Viongozi mbalimbali wa serikali wapo hapa hivyo tetesi kama hizi siyo za kupuuza.
Mangi Kileo ni miongoni mwa wasomi WANNE wa kwanza wa Tanzania kugraduate Makerere akiwemo pia mzee Cleopa David Msuya.
Mangi Kileo amehudumu serikalini katika nafasi mbalimbali za uongozi ikiwemo Katibu mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii ambayo Kigwangalla alipata kuhudumu pia.
Lisemwalo lipo kama halipo laja.
Mungu wa mbinguni awabariki sana!