Tetesi: Kigwangalla kuwa Waziri mpya wa Afya, Dr. Gwajima kwenda Jinsia, Wanawake, Wazee na Watoto!

Tetesi: Kigwangalla kuwa Waziri mpya wa Afya, Dr. Gwajima kwenda Jinsia, Wanawake, Wazee na Watoto!

Hizi tetesi zimesikika hapa Sanya juu kwenye tukio kubwa la kumsimika Chifu wa Siha Mangi Kileo.

Viongozi mbalimbali wa serikali wapo hapa hivyo tetesi kama hizi siyo za kupuuza.

Mangi Kileo ni miongoni mwa wasomi WANNE wa kwanza wa Tanzania kugraduate Makerere akiwemo pia mzee Cleopa David Msuya.

Mangi Kileo amehudumu serikalini katika nafasi mbalimbali za uongozi ikiwemo Katibu mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii ambayo Kigwangalla alipata kuhudumu pia.

Lisemwalo lipo kama halipo laja.

Mungu wa mbinguni awabariki sana!
Kigwa anafaa kuwa msaidizi.
 
Hizi tetesi zimesikika hapa Sanya juu kwenye tukio kubwa la kumsimika Chifu wa Siha Mangi Kileo.

Viongozi mbalimbali wa serikali wapo hapa hivyo tetesi kama hizi siyo za kupuuza.

Mangi Kileo ni miongoni mwa wasomi WANNE wa kwanza wa Tanzania kugraduate Makerere akiwemo pia mzee Cleopa David Msuya.

Mangi Kileo amehudumu serikalini katika nafasi mbalimbali za uongozi ikiwemo Katibu mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii ambayo Kigwangalla alipata kuhudumu pia.

Lisemwalo lipo kama halipo laja.

Mungu wa mbinguni awabariki sana!
Jinsia wanawake wazee na watoto ana andaliwa Sophia Simba mazir walio kuwa kwenye hawam ya msoga wote warudishwa kiujanja ujanja
 
Hizi tetesi zimesikika hapa Sanya juu kwenye tukio kubwa la kumsimika Chifu wa Siha Mangi Kileo.

Viongozi mbalimbali wa serikali wapo hapa hivyo tetesi kama hizi siyo za kupuuza.

Mangi Kileo ni miongoni mwa wasomi WANNE wa kwanza wa Tanzania kugraduate Makerere akiwemo pia mzee Cleopa David Msuya.

Mangi Kileo amehudumu serikalini katika nafasi mbalimbali za uongozi ikiwemo Katibu mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii ambayo Kigwangalla alipata kuhudumu pia.

Lisemwalo lipo kama halipo laja.

Mungu wa mbinguni awabariki sana!
Recycling
 
Dorothy Gwajima hafai hata kuwa mtendaji wa Kijiji,mama angempumzishaa huyu mama asiyekuwa na haya
 
ni haki yao kugawana vyeo watakavyo !! kura waibe wao, police wawahi wao, vyeo wagawane wao afu sisi watutundike mi kesi ya kuchonga chonga !!
 
Kigwanomics ni mkimbu. Kikabila kimoja kidogo kipo mpakani mwa singida na tabora. ( wanyamwezi mixer wasingida) mama yake ni mnyamwezi msukuma
Kwa mazingira hayo hana amekosa sifa ya kuwa katika baraza la mama
 
Kigwangwala huyuhuyu ambaye pccb wanakamilisha ushahidi apandishwe kizimbani kwa matumizi mabaya ya madaraka kipindi akiwa waziri wa utalii
 
Hizi tetesi zimesikika hapa Sanya juu kwenye tukio kubwa la kumsimika Chifu wa Siha Mangi Kileo.

Viongozi mbalimbali wa serikali wapo hapa hivyo tetesi kama hizi siyo za kupuuza.

Mangi Kileo ni miongoni mwa wasomi WANNE wa kwanza wa Tanzania kugraduate Makerere akiwemo pia mzee Cleopa David Msuya.

Mangi Kileo amehudumu serikalini katika nafasi mbalimbali za uongozi ikiwemo Katibu mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii ambayo Kigwangalla alipata kuhudumu pia.

Lisemwalo lipo kama halipo laja.

Mungu wa mbinguni awabariki sana!
Watoto wake wako salama huko?

Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
 
Hizi tetesi zimesikika hapa Sanya juu kwenye tukio kubwa la kumsimika Chifu wa Siha Mangi Kileo.

Viongozi mbalimbali wa serikali wapo hapa hivyo tetesi kama hizi siyo za kupuuza.

Mangi Kileo ni miongoni mwa wasomi WANNE wa kwanza wa Tanzania kugraduate Makerere akiwemo pia mzee Cleopa David Msuya.

Mangi Kileo amehudumu serikalini katika nafasi mbalimbali za uongozi ikiwemo Katibu mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii ambayo Kigwangalla alipata kuhudumu pia.

Lisemwalo lipo kama halipo laja.

Mungu wa mbinguni awabariki sana!
Hii mambo ya kulamba lamba vyeo na positions za ku-rule over other human beings bila kuzitolea jasho unasubiri uteuliwe ni really ukoswaji wa akili

No human being who needs anybody to rule over him for him to live and endesha maisha yake

Hizi positions na vyeo ni absolutely useless...

As we estimate mpaka mwaka 2800 duniani hakutakua na mfumo unaoitwa serikali,utakua ni useless,human beings hawatataka tena kusimamiwa na mwanadamu mwingine ili society iweze ku-function....

Wanadamu watakua na IQ kubwa kiasi kwamba any idea ya "kiongozi" au cheo fulani itakua ni alien na foreign
 
Unaota au !!!??? Huyo hafai kuongoza popote (Period !!!). Kama kuna mabadiliko yanataka kufanywa ni bora angemhamisha Katibu Mkuu Wizara Ya Habari,Mawasiliano Na Teknolojia Ya Habari kwenda kumfanya Waziri wa Afya.
 
Back
Top Bottom