Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kigwa anafaa kuwa msaidizi.Hizi tetesi zimesikika hapa Sanya juu kwenye tukio kubwa la kumsimika Chifu wa Siha Mangi Kileo.
Viongozi mbalimbali wa serikali wapo hapa hivyo tetesi kama hizi siyo za kupuuza.
Mangi Kileo ni miongoni mwa wasomi WANNE wa kwanza wa Tanzania kugraduate Makerere akiwemo pia mzee Cleopa David Msuya.
Mangi Kileo amehudumu serikalini katika nafasi mbalimbali za uongozi ikiwemo Katibu mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii ambayo Kigwangalla alipata kuhudumu pia.
Lisemwalo lipo kama halipo laja.
Mungu wa mbinguni awabariki sana!
Msudani ya kusini!Kwani kigwangala ni kabila gani?
Huyu ndiye anastahili na sio Kigwa.Namshauri Mhe. Rais amteue Dr. Faustine Ndugulile. Huyu ni mtu mwenye maadili siyo kama huyo anayetajwa aliye na makando kando mengi.
Uchawi ni sayansi bwashee!kumrudisha kigwangallah ndio nitaamini UCHAWI UPO
Jinsia wanawake wazee na watoto ana andaliwa Sophia Simba mazir walio kuwa kwenye hawam ya msoga wote warudishwa kiujanja ujanjaHizi tetesi zimesikika hapa Sanya juu kwenye tukio kubwa la kumsimika Chifu wa Siha Mangi Kileo.
Viongozi mbalimbali wa serikali wapo hapa hivyo tetesi kama hizi siyo za kupuuza.
Mangi Kileo ni miongoni mwa wasomi WANNE wa kwanza wa Tanzania kugraduate Makerere akiwemo pia mzee Cleopa David Msuya.
Mangi Kileo amehudumu serikalini katika nafasi mbalimbali za uongozi ikiwemo Katibu mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii ambayo Kigwangalla alipata kuhudumu pia.
Lisemwalo lipo kama halipo laja.
Mungu wa mbinguni awabariki sana!
RecyclingHizi tetesi zimesikika hapa Sanya juu kwenye tukio kubwa la kumsimika Chifu wa Siha Mangi Kileo.
Viongozi mbalimbali wa serikali wapo hapa hivyo tetesi kama hizi siyo za kupuuza.
Mangi Kileo ni miongoni mwa wasomi WANNE wa kwanza wa Tanzania kugraduate Makerere akiwemo pia mzee Cleopa David Msuya.
Mangi Kileo amehudumu serikalini katika nafasi mbalimbali za uongozi ikiwemo Katibu mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii ambayo Kigwangalla alipata kuhudumu pia.
Lisemwalo lipo kama halipo laja.
Mungu wa mbinguni awabariki sana!
Kigwanomics ni mkimbu. Kikabila kimoja kidogo kipo mpakani mwa singida na tabora. ( wanyamwezi mixer wasingida) mama yake ni mnyamwezi msukumaKwani kigwangala ni kabila gani?
Kwa mazingira hayo hana amekosa sifa ya kuwa katika baraza la mamaKigwanomics ni mkimbu. Kikabila kimoja kidogo kipo mpakani mwa singida na tabora. ( wanyamwezi mixer wasingida) mama yake ni mnyamwezi msukuma
Watoto wake wako salama huko?Hizi tetesi zimesikika hapa Sanya juu kwenye tukio kubwa la kumsimika Chifu wa Siha Mangi Kileo.
Viongozi mbalimbali wa serikali wapo hapa hivyo tetesi kama hizi siyo za kupuuza.
Mangi Kileo ni miongoni mwa wasomi WANNE wa kwanza wa Tanzania kugraduate Makerere akiwemo pia mzee Cleopa David Msuya.
Mangi Kileo amehudumu serikalini katika nafasi mbalimbali za uongozi ikiwemo Katibu mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii ambayo Kigwangalla alipata kuhudumu pia.
Lisemwalo lipo kama halipo laja.
Mungu wa mbinguni awabariki sana!
Hii mambo ya kulamba lamba vyeo na positions za ku-rule over other human beings bila kuzitolea jasho unasubiri uteuliwe ni really ukoswaji wa akiliHizi tetesi zimesikika hapa Sanya juu kwenye tukio kubwa la kumsimika Chifu wa Siha Mangi Kileo.
Viongozi mbalimbali wa serikali wapo hapa hivyo tetesi kama hizi siyo za kupuuza.
Mangi Kileo ni miongoni mwa wasomi WANNE wa kwanza wa Tanzania kugraduate Makerere akiwemo pia mzee Cleopa David Msuya.
Mangi Kileo amehudumu serikalini katika nafasi mbalimbali za uongozi ikiwemo Katibu mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii ambayo Kigwangalla alipata kuhudumu pia.
Lisemwalo lipo kama halipo laja.
Mungu wa mbinguni awabariki sana!
We mzee acha kuzeeka vibaya.Ikiliwa na wengi utakuwa ni Mkate siyo Keki!