Sir robby
JF-Expert Member
- Jun 22, 2022
- 2,396
- 4,080
CCM oyee!
Zidumu fikra za mwenyekiti Magufuli
Bashiru Ally aliteuliwa na mwenyekiti wa CCM, Rais Magufuli, hamkupiga ktk kikao chochote zaidi ya kumpongeza huku KIgwangalah ukijua kuwa Bashiru ni mwanachama wa CUF.
Wapinzani waliteuliwa na kupewa nyadhifa serikalini huku mkijua serikali iliyopo sio ya umoja wa kitaifa lakini hamkupinga zaidi ya kumpongeza mwenyekiti wa CCM Rais Magufuli.
Wapinzani walinunuliwa na kupitishwa kugombea udiwani na ubunge kwa tiketi ya CCM bila kupewa au kusalimisha kadi za uanachama wao huko walikotoka hamkupinga wala kuhoji zaidi ya kumshangilia mwenyekiti wa CCM Rais Magufuli.
Huo ni inafiki wa kisiasa.
Zidumu fikra za mwenyekiti Magufuli
Bashiru Ally aliteuliwa na mwenyekiti wa CCM, Rais Magufuli, hamkupiga ktk kikao chochote zaidi ya kumpongeza huku KIgwangalah ukijua kuwa Bashiru ni mwanachama wa CUF.
Wapinzani waliteuliwa na kupewa nyadhifa serikalini huku mkijua serikali iliyopo sio ya umoja wa kitaifa lakini hamkupinga zaidi ya kumpongeza mwenyekiti wa CCM Rais Magufuli.
Wapinzani walinunuliwa na kupitishwa kugombea udiwani na ubunge kwa tiketi ya CCM bila kupewa au kusalimisha kadi za uanachama wao huko walikotoka hamkupinga wala kuhoji zaidi ya kumshangilia mwenyekiti wa CCM Rais Magufuli.
Huo ni inafiki wa kisiasa.