Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uamini usiamini haitusaidii kitu maana wewe ni sukuma gangKidogo nataka kuamini maneno ya membe!
Hayo matusi na kumshambulia huyo mleta ujumbe wa Kigwangala yanasaidia nini?Hivi wewe pimbi na zuzu kazi yako kutetea wawekezaji uchwara! Na hapa haungelei wananchi wa kawaida unataka fever kwa makampuni wewe hata watu wa kawaida hauhangaiki nao!,si mlisema mama yenu anaupiga mwingi! Imekuaje tena? Kusema kweli wewe unabahati tu kufika hapo ila kwa hoja uwezo wako mdogo sana!
Naona leo umevuta bila kuchambua mbegu!Uamini usiamini haitusaidii kitu maana wewe ni sukuma gang
Kama mwenyekiti wako alisha ruhusu pale Njombe kuna ubaya gani?Naona leo umevuta bila kuchambua mbegu!
Nawe ukaamua uhamie huko huko unavuta na kushushia na komoni!Kama mwenyekiti wako alisha ruhusu pale Njombe kuna ubaya gani?
Kasema mwenyekiti wa chama ccmNawe ukaamua uhamie huko huko unavuta na kushushia na komoni!
Kwamba?Kidogo nataka kuamini maneno ya membe!
Lakini hoja zake mbona kama zinamashikoHivi wewe pimbi na zuzu kazi yako kutetea wawekezaji uchwara! Na hapa haungelei wananchi wa kawaida unataka fever kwa makampuni wewe hata watu wa kawaida hauhangaiki nao!,si mlisema mama yenu anaupiga mwingi! Imekuaje tena? Kusema kweli wewe unabahati tu kufika hapo ila kwa hoja uwezo wako mdogo sana!
Mdau amekosea jinsi ya uwasilishaji maana hata mimi nimewaza kwa nini.Hayo matusi na kumshambulia huyo mleta ujumbe wa Kigwangala yanasaidia nini?
Kwani huwezi kuandika bila matusi na ukaeleweka?
Unadhani wewe pekee ndiye bingwa wa matusi hapa jamvini?
Huenda kuna vitu hajapata kuvielewa vizuriKuna shida ya uelewa kidogo hapo; hivi Mh anadhani PAYE ni kodi inayolipwa na Kampuni! PAYE inalipwa na mfanyakazi hivyo ukiisimamisha unampa ahueni mfanyakazi na si kampuni kama mh anavyosema.
Wapo hao bado wanaamini ipo siku yesu wao atarudiDah kumbe gang bado zina exist
Wengine wanakuwa na chuki hadi zinapitilizaMdau amekosea jinsi ya uwasilishaji maana hata mimi nimewaza kwa nini.
Tabia hiyo maranyingi inawakosesha uhuru wa mawazoKweli kabisa wanashindwa kuhifadhi baadhi ya maneno