Ndoto hizoDah pengine yupo atakuja kama yeye
Wewe uliposema sukuma gang ulidhani unamfulahisha huyo au ulitaka audhike?Hayo matusi na kumshambulia huyo mleta ujumbe wa Kigwangala yanasaidia nini?
Kwani huwezi kuandika bila matusi na ukaeleweka?
Unadhani wewe pekee ndiye bingwa wa matusi hapa jamvini?
Kwani sukuma gang ina maana gani?We
Wewe uliposema sukuma gang ulidhani unamfulahisha huyo au ulitaka audhike?
Sukuma gang!!!We
Wewe uliposema sukuma gang ulidhani unamfulahisha huyo au ulitaka audhike?
Wewe kama MBUNGE Umewafikiriaje Wajasilimia Mali na Wahangaikaji wa JIMBO LAKO?Mbunge wa Nzega vijijini Dr. Hamis Kigwangalla Ameomba serikali kuwafikiria wajasiriamali na wahangaikaji wengine.