Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 70,785
- 186,690
Usokolo kwinyo😅😅😅😅usokolo nini?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usokolo kwinyo😅😅😅😅usokolo nini?
Hata tango anataka amalize lote peke yake.Ukiona tabia za aina hiyo kwa mtu elewa kuwa huyo ni mroho (selfishness) kwa kila kitu, hata kula.
FF, Asante kwa comment nzuri.Ukiona tabia za aina hiyo kwa mtu elewa kuwa huyo ni mroho (selfishness) kwa kila kitu, hata kula.
Ukiona tabia za aina hiyo kwa mtu elewa kuwa huyo ni mroho (selfishness) kwa kila kitu, hata kula.
FF, Asante kwa comment nzuri.
Kigwa, ana kimavi. Hata ajionshe vipi kaharufu bado katakuwepo.
Mbona Dr. Kigwangallah yuko sahihi.....mwenye matatizo hapa ni wewe na wale wenye mtizamo kama wako. Hapa tatizo la Kigwangallah ni nini, ebu tueleze?Dk Kigwangalla ana sifa zote za mtu aitwaye HASIDI. Hasidi ana pande mbili:- upande ni mtu mwema na upande mwingine mnafiki. HK anacheza na vitu 2:- bosi wake na nyakati. Siyo wa kuamini tena huyu Ni kisokolokwinyo aliyeenda shule.
Akiwa waziri wa afya aliunga mkono wazo la jpm la watu kujifukiza. Akalipigia chapuo sana na akawa anarusha clip na picha akionesha anavyojifukiza. (Hapa HK alikuwa analinda ugali, hivyo akawa anajipendekeza kwa kiwango cha sgr kwa bosi wake).
Lkn siku chache tu baada ya kifo cha Magufuli alianza kupinga kujifukiza. (Hapa alishaona Magufuli hana ishu tena. Wa nini? Hatomsaidia kwa lolote. Nyakati za Magufuli kuwa bosi zimepita).
Na sasa ameanza kujipendekeza kwa mama Samia (Soma maoni yake hapa chini juu ya katiba mpya). Nadhani anatafuta uwaziri. Je, anaaminika tena hasidi huyu?? Anaaminika tena kisokolokwinyo huyu?
Huyu Kabudi naye kwa kweli ndiyo wale wale tu. Alikuwa kwa tume ya jaji Warioba ya katiba mpya. Lkn anavyoongea utadhani kashuka toka sayari ya Pluto.alichoandika hapoo ni nukuu ya maneno aliyosema Palamaganda kabudi...
Wasomi wa nchi hii wakiingia kwenye siasa hawafikiri kwa kutumia vichwa tena...hufikiri kwa kutumia tumbo....kumbuka Mwakyembe alikana andiko lake la PhD juu ya serikali Tatu! umemsikia Issa Shivji....!Sijui Kuna shida gani nchi hii? Kwann watu wanakuwa wanafiki hivi??
Daah! Aisee. Tubadili kauli mbiu yetu inayosema " elimu ni ufunguo wa maisha". Iwe Sasa " elimu ni ufunguo wa unafiki"...kumbuka Mwakyembe alikana andiko lake la PhD juu ya serikali Tatu! umemsikia Issa Shivji....!
Pole sana mkuu kuwakilishwa na mtu wa aina hii.Huwa nasikia aibu sana kuwa huyu ni mbunge wa jimbo langu.
Lips[emoji1]Ni kama kaka yake Lips
Ni asili na mifumo hata wewe ukiwa mwanasiasa utakuwa hivyo hivyoHuyu Kabudi naye kwa kweli ndiyo wale wale tu. Alikuwa kwa tume ya jaji Warioba ya katiba mpya. Lkn anavyoongea utadhani kashuka toka sayari ya Pluto.
Sijui Kuna shida gani nchi hii? Kwann watu wanakuwa wanafiki hivi??
Kaka yake lips???! Kwa codes hizi uneniachaNi kama kaka yake Lips