Hey FaizaFoxy kumbe hujasusia kikao bado upo? Usiwe unapotea vile mwanakwetu; vijembe vyako ni sehemu ya chachu za mijadala. Unapopotea tunavimiss sana.Ukiona tabia za aina hiyo kwa mtu elewa kuwa huyo ni mroho (selfishness) kwa kila kitu, hata kula.
LipumbaKaka yake lips???! Kwa codes hizi uneniacha
Dk Kigwangalla ana sifa zote za mtu aitwaye HASIDI. Hasidi ana pande mbili:- upande ni mtu mwema na upande mwingine mnafiki. HK anacheza na vitu 2:- bosi wake na nyakati. Siyo wa kuamini tena huyu Ni kisokolokwinyo aliyeenda shule.
Akiwa waziri wa afya aliunga mkono wazo la jpm la watu kujifukiza. Akalipigia chapuo sana na akawa anarusha clip na picha akionesha anavyojifukiza. (Hapa HK alikuwa analinda ugali, hivyo akawa anajipendekeza kwa kiwango cha sgr kwa bosi wake).
Lkn siku chache tu baada ya kifo cha Magufuli alianza kupinga kujifukiza. (Hapa alishaona Magufuli hana ishu tena. Wa nini? Hatomsaidia kwa lolote. Nyakati za Magufuli kuwa bosi zimepita).
Na sasa ameanza kujipendekeza kwa mama Samia (Soma maoni yake hapa chini juu ya katiba mpya). Nadhani anatafuta uwaziri. Je, anaaminika tena hasidi huyu?? Anaaminika tena kisokolokwinyo huyu?
Umetisha Sana mkuuLipumba
Mkuu, si tunaambiwa kuwa njaa ndio inakupa akili na maarifa ya kupambana, au?Njaa huondoa maarifa, hekima na ufahamu wa mtu
Le pro fes sorKaka yake lips???! Kwa codes hizi uneniacha
πππKisolokwinyo ktk ubora wake, [emoji23][emoji23][emoji23]
Achana na mavi japo tunapoyapangusa tuna kunja uso wakati mkono tumepeleka wenyewe na tunapokanyaga tunachechemea kuzidi kuchomwa na mwiba!Dk Kigwangalla ana sifa zote za mtu aitwaye HASIDI. Hasidi ana pande mbili:- upande ni mtu mwema na upande mwingine mnafiki. HK anacheza na vitu 2:- bosi wake na nyakati. Siyo wa kuamini tena huyu Ni kisokolokwinyo aliyeenda shule.
Akiwa waziri wa afya aliunga mkono wazo la jpm la watu kujifukiza. Akalipigia chapuo sana na akawa anarusha clip na picha akionesha anavyojifukiza. (Hapa HK alikuwa analinda ugali, hivyo akawa anajipendekeza kwa kiwango cha sgr kwa bosi wake).
Lkn siku chache tu baada ya kifo cha Magufuli alianza kupinga kujifukiza. (Hapa alishaona Magufuli hana ishu tena. Wa nini? Hatomsaidia kwa lolote. Nyakati za Magufuli kuwa bosi zimepita).
Na sasa ameanza kujipendekeza kwa mama Samia (Soma maoni yake hapa chini juu ya katiba mpya). Nadhani anatafuta uwaziri. Je, anaaminika tena hasidi huyu?? Anaaminika tena kisokolokwinyo huyu?