Ukiona mpaka mwenyekiti anatupiwa dongo zito hivyo na wafuasi wa chama tawala, basi jua amepuyanga sana kwa uamuzi wake huo.
^Ndugu zangu, nimewasikiliza vizuri. Nipeni saa 48. Leo ni Jumatano. Kesho na Ijumaa. Jumamosi saa tano asubuhi, nitatangaza msimamo wangu hapa hapa. Nikiona chama CHANGU kinaenda kuzamishwa, mimi kamanda NARUDI mzigoni.^