Kihamia: Mjumbe wa Kamati Tendaji Ajiuzuru

Kihamia: Mjumbe wa Kamati Tendaji Ajiuzuru

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
53,868
Reaction score
121,001
Screenshot_20210825-075853_Chrome.jpg
 
Hakuridhia ujio wa Hajji, yuko sahihi kabisa......hata mm sijapendezwa ujio wake, japo ni sehemu ya kazi na anatakiwa atafute maisha yake
 
Awe mkweli tu amemkwepa aliyewaita Yanga wote hamnazo kasoro Kikwete na baba yake Mzee Manara. Ila hongera zake hakutaka kuwa mnafiki na amechukua maamuzi ya busara sana kwa upande wake.
 
sasa nimegundua kuwa wewe ni jobless.
Kila kukicha nyuzi za yanga.

Tutakuja tukuoe malaya wewe
 
Amefanya kitendo cha kiungwana na cha kijasiri! Hata nyinyi kuna kiongozi wenu (sijui ni Magori yule) alijiuzulu urais wa klabu baada ya Mo wenu kukabidhiwa timu, na kuanza kuwapelekesha watu alio wakuta kama magari mabovu.
 
Back
Top Bottom